hakuna marefu bila nncha,wamecheza sn 50yrs akaaaa jamani.soma picha Baro utamuona JK tunayemuongelea
Last edited by a moderator:
hakuna marefu bila nncha,wamecheza sn 50yrs akaaaa jamani.soma picha Baro utamuona JK tunayemuongelea
nimesoma udaku kuwa hata Diamond mchumba wa Wema sepetu eti kaitwa Ikulu naye, sijui kweli, kama ni kweli jamaa anashusha hadhi ya jengo hilo tukufu
hakuna marefu bila nncha,wamecheza sn 50yrs akaaaa jamani.
Bibikuku nakuheshimu sana, Diamond aende ikulu kufanyeje sasa? Kwani watafiti na wanasayansi wakiwemo maprofesa wote wa nchi hii wameshaenda ikulu?
Bibikuku nakuheshimu sana, Diamond aende ikulu kufanyeje sasa? Kwani watafiti na wanasayansi wakiwemo maprofesa wote wa nchi hii wameshaenda ikulu?
View attachment 62769View attachment 62769
Hili ni gazeti la leo la Ijumaa na habari inadokeza hivi:
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa Diamond Platnumz na kumpa jukumu maalum, Ijumaa linairusha hewani.
Kwa mujibu wa Diamond, juzikati prezidenti alimwita ikulu Magogoni, Dar es Salaam na kumpa shavu la kwenda kufanya shoo kwenye mkutano maalum utakaofanyika Washington DC nchini Marekani hivi karibuni.
Yaa, rais aliniita akaniambia kuna shoo natakiwa kwenda kufanya Marekani
Mkuu LINCOLINMTZA nimeshakuwekea hiyo habari ya Diamond kualikwa Ikulu na JK hapo juu.
Nashukur bibikuku lakini hivi vitu vinaonyesha kukosa vipaumbele katika nchi vinavyojenga nchi zaidi ya burudani tu.
Kwa mara nyingine tena naomba niseme kitendo cha Spika wa bunge kuwa mjumbe wa CC ya CCM kinatia doa kiti cha Spika. Kuwa mjumbe wa NEC ni sawa lakini sio CC. Bunge limeharibika kabisa, kageuza bunge kuwa idara ya serikali na sasa bunge linanuka rushwa kama ilivyo serikalini.