JK angepewa Nchi mwaka 1995 tungekuwa wapi?

JK angepewa nchi 1995 tungekuwa wapi?
Licha ya kwamba Ben mwishowe anaonekana alitumia madaraka vibaya na kutumia Ikulu kuendeshea biashara binafsi; pamoja na madudu mengine kama IPTL, Kiwira, Radar na Ndege ya Rais kufanyika chini yake, ubabe na maamuzi yake ya haraka kwa kujiamini yalisaidia nchi kinamna. Serikali yake iliweza kukusanya kodi na dalili za kutulizana kwa uchumi kijumla (macro economy)zilianza kuonekana. Price inflation dropped to single digits after decades of double digits. Infrastructural rehabilitation esp. major roads started in earnest and this will augur well for the future.

JK angepewa nchi 1995 angeendelea na tabasamu zake na kusitasita katika maamuzi kama ilivyo sasa na hatungepiga hatua za kwenda mbele. Indecision is the current problem of Tanzania and it would have destroyed us between 1995 and 2005 had JKN not intervened to impose Ben on CCM and Tanzania.

Kilasara (JF Junior Member)
 
JK angepewa nchi 1995 tungekuwa wapi?
Licha ya kwamba Ben mwishowe anaonekana alitumia madaraka vibaya na kutumia Ikulu kuendeshea biashara binafsi; pamoja na madudu mengine kama IPTL, Kiwira, Radar na Ndege ya Rais kufanyika chini yake, ubabe na maamuzi yake ya haraka kwa kujiamini yalisaidia nchi kinamna. Serikali yake iliweza kukusanya kodi na dalili za kutulizana kwa uchumi kijumla (macro economy)zilianza kuonekana. Price inflation dropped to single digits after decades of double digits. Infrastructural rehabilitation esp. major roads started in earnest and this will augur well for the future.

JK angepewa nchi 1995 angeendelea na tabasamu zake na kusitasita katika maamuzi kama ilivyo sasa na hatungepiga hatua za kwenda mbele. Indecision is the current problem of Tanzania and it would have destroyed us between 1995 and 2005 had JKN not intervened to impose Ben on CCM and Tanzania.

Kilasara (JF Junior Member)

ingekuwa hivi: AHM -10 yearS +JK -10 years lost THEN kufikia mwaka 2005 tungekuwa -40 years, equivalent to year 1965
 
Hivi nani hafai zaidi ya wmenzake, Kikwete, Mkapa au wananchi wanaowaweka madarakani akina Kikwete na Mkapa?
 
Hivi nani hafai zaidi ya wmenzake, Kikwete, Mkapa au wananchi wanaowaweka madarakani akina Kikwete na Mkapa?

kuna tofauti hapa:
Mkapa kachapa kazi kaiba = tutamshughulikia kwa kile alichoiba
JK = anaboronga na ikiisha term yake ndipo tutajua kishaiba kiasi gani. Hadi sasa kwenye Richmond na EPA upo mkono wake; bado mengi hatujayaona.

Wananchi huchagua mtu kwa sera. ingawa wengi wetu ni mabwege!
 
2005 alichukua nchi baada ya kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10 na ndiyo haya tunayoyaona.Je angepewa 1995?
 
ukweli mtupu Mkapa alichukua nchi ikiwa hoi bini tabani kiuchumi. aliktoka 2005 watu tulikuwa tuna tabasamu kweli alichapa kazi vema. kwa hilo tumpe credits zake jamani.

kwleli kama viongozi wa afrika walivyo ameiba. Lakini Kikwete anaturudisha nyuma kiuchumi kama alivyofanya Mwinyi, na haya mtaamini akimaliza miaka 10. uzoefu unaonyesha term ya miaka 5 ya pili viongozi huwa hawafikirii kabisa nchi bali matumbo yao na wale waliowazunguka karibu.
kama ameshindwa miaka miatano " we should not expect wonders in second term of his presidency"
 
Hivi mafanikio ya Mkapa yanaonekana kivipi? Hivi mnaomtetea mnajua kwamba figure za uchumi kibao zilikuwa zinapikwa? hebu angalieni hali za watu vijijini wakati wa Mkapa halafu mtuambie kama zilikuwa bora kuliko sasa? Hebu wacheni jamani kumtetea Mkapa. Alikuwa ni mwizi tu kama vibaka wengine huyu. Alikuwa na fursa nzuri sana ya kuiondoa TZ kutoka kwenye ufukara hususan baada ya kukuta Mwinyi kavurunda uchumi vibaya sana lakini mara Nyerere alipofariki naye akaamua kuvua ngozi ya kondoo na kuvaa ngozi yake halisi. Kule alikokuwa anaonekana anafanya vizuri ilikuwa sio kwa sababu ya waTZ masikini bali ni kujikomba kwa WB, IMF, Makampuni ya Madini, nk.

Kikwete simtetei kwani hadi sasa hajafikia matarajio ya watanzania hata kwa mbali. Lakini, he is better off than Mkapa kwa vigezo vingi tu!
 
Hivi mafanikio ya Mkapa yanaonekana kivipi? Hivi mnaomtetea mnajua kwamba figure za uchumi kibao zilikuwa zinapikwa? hebu angalieni hali za watu vijijini wakati wa Mkapa halafu mtuambie kama zilikuwa bora kuliko sasa? Hebu wacheni jamani kumtetea Mkapa. Alikuwa ni mwizi tu kama vibaka wengine huyu. Alikuwa na fursa nzuri sana ya kuiondoa TZ kutoka kwenye ufukara hususan baada ya kukuta Mwinyi kavurunda uchumi vibaya sana lakini mara Nyerere alipofariki naye akaamua kuvua ngozi ya kondoo na kuvaa ngozi yake halisi. Kule alikokuwa anaonekana anafanya vizuri ilikuwa sio kwa sababu ya waTZ masikini bali ni kujikomba kwa WB, IMF, Makampuni ya Madini, nk.

Kikwete simtetei kwani hadi sasa hajafikia matarajio ya watanzania hata kwa mbali. Lakini, he is better off than Mkapa kwa vigezo vingi tu!

Unajua economics kama ilikupitia mbali wala huwezi kutofautisha numbers! Mkiulizwa kwa nini mnaona wakati wa Mwinyi ulikuwa mzuri mnasema dili (misheni)zilikuwa nyingi na nzuri!Eti hela ilikuwa bwete!
Kwa wizi wote alioufanya, Mkapa was a performer, and he had a best Governor but all in all temptation tena!!
 
Rais Mkapa alikuwa "kiboko" na ndiyo maana unaona yote yaliyofanyika chini ya utawala wake yanapigiwa kelele sasa hivi ... siyo kama Rais Kikwete ambaye deal la Richmond tu limeibuliwa asubuhi asubuhi kabla hata hajaamka kunawa uso!!!!

Wakati wa Mkapa hata mradi/au mkataba ulioonekana waziwazi kuzungukwa na rushwa ni nani angeweza thubutu kusema?

Dr. Slaa ambaye anaonekana shujaa leo hii amekuwepo bungeni tangu 1995, lakini ni kuanzia 2006 tu amekuwa huru ... Maana wakati wa Mkapa kile kilikuwa ni kifungo!!

Hivi hii "vita dhidi ya ufisadi" ingeanza 1996 tungekuwa wapi?

Lakini ndiyo hivyo tena, ukishaweka .."nge".. kwenye sentensi maana yake ni ndoto za alinacha, maana ni kujadili ambacho hakikuwepo na katu hakitakuwepo!!
 
Nchi sasa ni uozo mtupu hakuna hata cha kujivunia .Angalia hata tunashindwa kuendesha bandari kwa ufanisi na matokeo yake waagizaji mali toka nje ya nchi wanaamua kutumia bandari za nchi jirani.Nchi inakosa sio mapato hata sifa za kufanya biashara .Tunahitaji Rais na viongozi walio serious na wazarendo.Tuache ungozi wa kiswahiba. JK angepewa nchi 1995 tungekuwa nyuma zaidi kuliko tulivyo sasa hivi.Hana priority ndio maana kwenye kampeni zake alikuwa anahaidi kila kitu(empty promises)
 
Actaully we are doing mistake by comparing Ruksa, Mkapa na JK. All these three have/had their strenthens and weaknesses. We should compare with the Standard President for Tanzania. Let us list what a Tanzanian President should achieve and compare whether Mwinyi, Mkapa na JK lies at which percentage.
For instance, in agriculture, education, macro-economies, infrastructures, foreign policy, inflation, unemployment, balance of trade etc

Tatizo letu tunalinganisha nani anawashikaji wengi wanaomshangilia kuliko facts.
 
Actaully we are doing mistake by comparing Ruksa, Mkapa na JK. All these three have/had their strenthens and weaknesses. We should compare with the Standard President for Tanzania. Let us list what a Tanzanian President should achieve and compare whether Mwinyi, Mkapa na JK lies at which percentage.
For instance, in agriculture, education, macro-economies, infrastructures, foreign policy, inflation, unemployment, balance of trade etc

Tatizo letu tunalinganisha nani anawashikaji wengi wanaomshangilia kuliko facts.
Sawa hebu tuone

JKN AHM BWM JK
agriculture, C B
education, A F B
macro-economies, C F A
infrastructures, B D A
foreign policy, A C B B+
inflation, B F A
unemployment, B F C
balance of trade etc C F B
 
Actaully we are doing mistake by comparing Ruksa, Mkapa na JK. All these three have/had their strenthens and weaknesses. We should compare with the Standard President for Tanzania. Let us list what a Tanzanian President should achieve and compare whether Mwinyi, Mkapa na JK lies at which percentage.
For instance, in agriculture, education, macro-economies, infrastructures, foreign policy, inflation, unemployment, balance of trade etc

Tatizo letu tunalinganisha nani anawashikaji wengi wanaomshangilia kuliko facts.

This is the fact au habari ndo hiyo
 
Back
Top Bottom