We unafikiri kisiasa wakati wa kuomba kura JK angefanya nini wakati anapita kwenye majimbo ya uchaguzi wakati wa kampeni,wakati huohuo kumbuka hali ya siasa ilikuwa ngumu kwa upande wake.Mi nadhani hakuwa na
ujanja isipokuwa kuwalinda wale mafisadi ili apate kura kwani angefanya vinginevyo ilikuwa kuiaminisha jamii kuwa CCM yote ni chafu!Hivyo ccm ingepoteza majimbo mengi zaidi.Mi nafikiri JK alitumia akili ili ashinde uchaguzi halafu baadae ndio afanye yanayofanyika sasa.
ujanja isipokuwa kuwalinda wale mafisadi ili apate kura kwani angefanya vinginevyo ilikuwa kuiaminisha jamii kuwa CCM yote ni chafu!Hivyo ccm ingepoteza majimbo mengi zaidi.Mi nafikiri JK alitumia akili ili ashinde uchaguzi halafu baadae ndio afanye yanayofanyika sasa.