JK anena kupitia face book

Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi, yote hayawezi kufanywa mara moja kama ufikiriavyo

mara moja? Huu mwaka wa ngapi tangu mafisadi waiteke nchi? Au unadhani mafisad wameiteka Tz leo? Ccm ya matapeli ipo tangu kitambo sasa iyo mara moja ni ipi?
 
It is true that investing in education requires a lot of money but it is also true that the price of having illiterate people is too big compared to the price of investing in the education sector....................... VERY TRUE. Since we Tanzanians have been deprived our voted president and given a corrupt partial literate leader who can't trace why Tanzanians are poor despite of touching arts in economics and coming out with almost failure class,it reveals how we have highly inflated price in partial illiterate ruler without whom a state would invest in education at free price. Here we are,illiterates should sit down to allow those who think great to rule. We are not reeds to be shaken by wind!
 
Hana jpya fuatilia hiyo comment kwenye fb uone anavyo pondwa hata na vilaza
 
Muheshimiwa rais siyo mzungu na wala haishi kwa wazungu.

tru tre true, huwa anaenda kudokoa tujimisaada kama matonya. Ila hapa kwa kijilugha cha kule anajiita certified matonya. Kitaalamu kwa kibongo anasema anaenda kuemea! Ni muemeaji a.k.a msafiri/traveller.
 
Back
Top Bottom