bona
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 3,798
- 1,435
wanajamvi tujadili hii mbeleko.... inawezekana vipi naibu waziri aonekane ndo hafaia ila waziri muhusika ndio aonekane hana makosa??? kitendo cha kumuondoa mulugo wizara ya elimu wakati yeye alikua ni naibu waziri na kumuacha waziri kamili kinaeleweka kweli? waziri ndio mwenye dhamana yote na yeye ndio anatakiwa a face the warth lakini karukwa shoka limemkuta naibu wake!!!naona kama mbeleko sasa imetengenezwa ya bati maana ya kitambaa imechanika kabisa!!!!