segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Kauli ya mwenyekiti wa ccm Dr.Jakaya kikwete kuwa ccm haifi na wanaoitabiria kufa watakufa wao kabla ya ccm ni ya kukurupuka.CCM imeshaanza kufa mapema na kinachosubiriwa mpaka sasa ni mazishi yake rasmi mwaka 2015.Atuambie kuna mikakati gani ya kukinusuru chama,maana mkakati wa kujivua gamba umeshindwa,mpaka sasa hawana operation yoyete wanazidiwa hata na mke wao mpendwa Cuf angalau kwa kukopi na kupaste operation ya chadema .Chama kimesababisha maisha magumu kwa kila mtanzania mwema,labda mafisadi tu ndo wanaofaidika.Mi naona hiyo kauli ilikuwa ni mbwembwe tu za kujifurahisha kwenye vikao vyao. Watupe sababu kwa nini chama kisife sio kuja na hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja