Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya Kinana mwenyewe kama ilivyoripotiwa na Mwananchi, 31/01/2012
"Nitamwambia Rais kuwa wananchi wanakubaliana na utendaji wako ila uongeze ukali...Hili suala la kuonea aibu la chama cha CCM ndilo linalosababisha wapinzani wapate nguvu, haiwezekani Kiongozi wa CCM anaona matatizo halafu anakaa kimya, wapinzani wakisema mnasema wanapiga kelele.
Zitto pesa anazopokea kutoka kwa wafadhili wake zinamtosha, Makamba ile mihela aliyochukuw Nasdaq USA inamtosha sana, Kigwangwala ni muhongo na mnafki, na ni member humu JF natafuta post zake humu JF alizokuwa anapigia upatu miposho, alichofanya Kigwangala ni kucheza na akili za Watanzania kupata Political credilbity, kwani alijuwa wazi kwamba posho ni lazima zipande, kwahiyo alitaka kuonesha yupo upande wa Wananchi. huyu ni mnafki.
Huyu msomali ana akili nyingi sana miongoni mwa viongozi wa ccm
Hivi kwanini jamaaa hakipewa hata ka ubunge ka kuteuliwa wakati walifanya kazi ngumu sana ya ukampeni manager? Au alikuwa ni chaguo la ccm si la JK wakati wa uchaguzi? Ila jamaa anajua kupiga propaganda ambazo kidogo zinaakili ukilinganisha na wengine huko maga,bani!
mimi ndio huwa ninavyomwita hata yeye mwenyewe anajua hivyo mzee,but kama nimekukwaza niwie radhi.all in all jamaa kichwa.Kulikuwa na sababu yoyote ya kusema maneno haya "huyu msomali"
Au ubaguzi umekukaa akilini zaidi ya ubinadamu..binadamu wote ni sawa mkuu
Zitto pesa anazopokea kutoka kwa wafadhili wake zinamtosha, Makamba ile mihela aliyochukuw Nasdaq USA inamtosha sana, Kigwangwala ni muhongo na mnafki, na ni member humu JF natafuta post zake humu JF alizokuwa anapigia upatu miposho, alichofanya Kigwangala ni kucheza na akili za Watanzania kupata Political credilbity, kwani alijuwa wazi kwamba posho ni lazima zipande, kwahiyo alitaka kuonesha yupo upande wa Wananchi. huyu ni mnafki.
Jk alitaka awe speaker kumrithi sitta akakataa badae jk akataka awe katibu mkuu wa ccm kumrithi makamba pia akakataa,jamaa ni mtu wa ukweli anajua jk hana msimamo ukifanya nae kazi atakuyumbisha utaonekana kiongozi mbovu ndio maana kaamua kujiweka pembeni na kubaki tu kuwa mjumbe wa kamati kuu ambako huwa anawapasha ukweli ccm wapi wanapokosea na kwanini wamefika hapo,lakini huwa anawaambia ni uamuzi wao kuchukua ama kutochukua ushauri wake,mfano issue ya kutowashirikisha kina lowassa kwenye serikali ni yeye ndie aliyemshauri kikwete hata ile ya kikwete kwenda igunga na monduli kuwashika mikono jamaa wakati wa kampeni 2010 aliipinga na kumwambia jk waziwazi kwamba hakukua na ulazima kwa yeye kwenda huko kama ilikua lazima basi angeenda hata Dr Bilali mgombea mwenza,tatizo la jk ni ukaidi.
Pamoja na kuwa kichwa, ana madudu mengi sana ambayo akiingia tu kwenye siasa yatamwagwa hadharani. Vinginevyo anayapenda sana madaraka kama wengine tu. Utakubalije kuwa spika wa bunge la afrika mashariki lakini ukatae kuwa spika wa bunge la jamhuri kwa sababu za ovyo ovyo tu? Hes very sharp, siasa za CCM level yake ni chini sana ya Kinana kiasi kwamba atavurugana nao na watatoboa siri ya mambo yake mengi tu ya ovyo ovyo, ya tangia akiwa waziri wa ulinzi chini ya Mwinyi.
Wagonjwa wanateseka kwa madaktari uchwara kugoma.
Pumba Express!!Mkuu una akili kama ya huyu Msomali kinana .Maneno ya mpuuzi mmoja unayaleta hapa ? Zitto anapokea pesa za wafadhili kama ni kweli kuna ubaya gani kupokea kuliko kuwakamaua wananchi? Kwa hiyo kwa utetezi wako huu unasema posho ni sawa ? Kweli nawe ni thinker karibu tupo hapa .
Pamoja na mapenzi yako makubwa kwa ccm, huoni kuwa hizi tungo zako zinazidi kuongeza chuki zaidi kwa chama chako?Wagonjwa wanateseka kwa madaktari uchwara kugoma.