mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Jamani Julius Nyerere alitunikiwa shahada nyingi sana za udaktari wa heshima wa falsafa (zaidi ya 20), Mkapa nanye hivyo hivyo, Mwinyi naye hivyo hivyo, moja au mbili.
Wote hawa hawajitukuza na kujiita Drs. Sijawahi kusikia Dr. Nyerere, au Dr. Mkapa, au Dr. Ali Hassan Mwinyi.
Imekuaje kwa JK kujiita Dr. sawa na Dr. Bilal ambaye ameisotea PhD yake? Pia wapo wanasiasa wengine kina Mary Nagu, kina mama Lwakatare. Si vizuri kutumia elimu feki kama mtaji wa kisiasa.
Tafadhali Ikulu na vyombo vya habari acheni mara moja kumwita Kikwete Dr pamoja na wanasiasa wengine, wakitaka waende darasani kama Dr. Magufuli.
Mnaharibu maana na dhamani halisi ya elimu.
This is too dangerous for the young Nation such as ours.
Wote hawa hawajitukuza na kujiita Drs. Sijawahi kusikia Dr. Nyerere, au Dr. Mkapa, au Dr. Ali Hassan Mwinyi.
Imekuaje kwa JK kujiita Dr. sawa na Dr. Bilal ambaye ameisotea PhD yake? Pia wapo wanasiasa wengine kina Mary Nagu, kina mama Lwakatare. Si vizuri kutumia elimu feki kama mtaji wa kisiasa.
Tafadhali Ikulu na vyombo vya habari acheni mara moja kumwita Kikwete Dr pamoja na wanasiasa wengine, wakitaka waende darasani kama Dr. Magufuli.
Mnaharibu maana na dhamani halisi ya elimu.
This is too dangerous for the young Nation such as ours.