JK anahangaika kutafuta nchi ya kuishi, akipata atajiuzulu

Taaanganyika tanganyikaaaaaaaaaa nakupenda kwa moyo woteeeeeeee.....ghahahahahhahah napenda wimbo huuu! ila huu siupendi. Tanzania Tanzaniaaaaaaa..... siupendi kabisa kuusikia
 
Inasadikiwa kwamba kwa vile mambo ya kusimamia nchi yamemshinda JK sasa anatafuta hifadhi nchi nyingine ili akipata ajiuzulu.

Tatizo hakuna nchi inayomkubalia -- za hivi karibuni ni Syechelles na Malaysia, zote zimesema NO! JK anataka kufanya historia ya kuwa Rais wa kwanza wa TZ kujiuzulu akiwa madarakani baada ya kuivurunda na usimamizi mbovu.

Aibu moja inaliikabili taifa let ni kwamba tunasherehekea miaka 50 ya uhuru nchi ikiwa kizani -- kutokana na kushindwa kusimamia suala la umeme. Hilo ni moja tu.

SOURCE please!
 
Kama ulichokiandika ni kweli,kitu ambacho nina ki-doubt sana,nina hakika hawezi kuruhusiwa kuondoka Tanzania bila kuchukuliwa hatua yeyote.Aliyo tufanyia Watanzania out of his incompetence ni mambo ya kutisha mno.No,ni lazima afikishwe kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukue mkondo wake.Hata hivyo thread yako needs more meat,haina source.How can we believe you just like that.Kanafanana kama kahadithi kakutunga hivi.
Inasadikiwa kwamba kwa vile mambo ya kusimamia nchi yamemshinda JK sasa anatafuta hifadhi nchi nyingine ili akipata ajiuzulu.

Tatizo hakuna nchi inayomkubalia -- za hivi karibuni ni Syechelles na Malaysia, zote zimesema NO! JK anataka kufanya historia ya kuwa Rais wa kwanza wa TZ kujiuzulu akiwa madarakani baada ya kuivurunda na usimamizi mbovu.

Aibu moja inaliikabili taifa let ni kwamba tunasherehekea miaka 50 ya uhuru nchi ikiwa kizani -- kutokana na kushindwa kusimamia suala la umeme. Hilo ni moja tu.
 
JK ni miongoni wa viongozi wanaoheshimiwa sana nchi za nje, hasa nchi zenye demokrasia na uchumi huru. Tanzania uchumi unakuwa vizuri kwa mujibu wa benki ya dunia. Inawezekana kuna mambo mengi ya ufisadi bado - lakini haya yatachukua muda, naye pekee hawezi kuyamaliza kwa muda mchache na wananchi pia washiriki kikamilifu katika vita dhidhi ya ufisadi sio kulalamika tu.

Leo JK akiamua kuondoka TZ, na hakika atapata offer nyingi sana kutoka katika vyombo mbali mbali duniani vya kisiasa, uchumi , biashara ili waweze kufaidika na uzoefu wake.
 
JK ni miongoni wa viongozi wanaoheshimiwa sana nchi za nje, hasa nchi zenye demokrasia na uchumi huru. Tanzania uchumi unakuwa vizuri kwa mujibu wa benki ya dunia. Inawezekana kuna mambo mengi ya ufisadi bado - lakini haya yatachukua muda, naye pekee hawezi kuyamaliza kwa muda mchache na wananchi pia washiriki kikamilifu katika vita dhidhi ya ufisadi sio kulalamika tu. Leo JK akiamua kuondoka TZ, na hakika atapata offer nyingi sana kutoka katika vyombo mbali mbali duniani vya kisiasa, uchumi , biashara ili waweze kufaidika na uzoefu wake.
Ni wewe na familia yako ndio mtakaofaidikanae huyu jk alifaa sana kua DC sio Urais.
 
Vipi huyu Bill gates aliyekuja kimya kimya? Ana mpango gani kuhusu hifadhi ya JK?
 
Hana sifa kama za waliomtangulia na ni mdini...

Akistaafu au akiondoka kwa hiari hatapata heshima yoyote mbele ya watanzania!

Hajalifanyia hili Taifa jambo lolote lile la kujivunia...

Anawakumbatia Mafisadi...Anawaogopa...

Anashindwa kutoa msimamo wake...

Uchumi umemshinda...

Siasa zimemshinda (ANACHAKACHUA HADI AIBU)

Nchi anayoiongoza imepoteza Dira.....

Amevunja rekodi ya kuanguka kwenye mikutano ya hadhara (HAIJAWAHI KUTOKEA KWA VIONGOZI WALIOPITA)

Haamininiki na ana mambo ya kiswahili mno....

Hata akiondoka kesho ni poa tu
 
haitaji kuondoka Tz. Ajiuzulu. Awaombe radhi watz. na asimamie uchaguzi huru ili watz wapate kiongozi wamtakae. tutampa msamaha na kujipanga upya. itakuwa kwa faida yetu zaidi kuliko kuanza kufukuzana nae.
 
Back
Top Bottom