Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Inasadikiwa kwamba kwa vile mambo ya kusimamia nchi yamemshinda JK sasa anatafuta hifadhi nchi nyingine ili akipata ajiuzulu.
Tatizo hakuna nchi inayomkubalia -- za hivi karibuni ni Syechelles na Malaysia, zote zimesema NO! JK anataka kufanya historia ya kuwa Rais wa kwanza wa TZ kujiuzulu akiwa madarakani baada ya kuivurunda na usimamizi mbovu.
Aibu moja inaliikabili taifa let ni kwamba tunasherehekea miaka 50 ya uhuru nchi ikiwa kizani -- kutokana na kushindwa kusimamia suala la umeme. Hilo ni moja tu.
Tatizo hakuna nchi inayomkubalia -- za hivi karibuni ni Syechelles na Malaysia, zote zimesema NO! JK anataka kufanya historia ya kuwa Rais wa kwanza wa TZ kujiuzulu akiwa madarakani baada ya kuivurunda na usimamizi mbovu.
Aibu moja inaliikabili taifa let ni kwamba tunasherehekea miaka 50 ya uhuru nchi ikiwa kizani -- kutokana na kushindwa kusimamia suala la umeme. Hilo ni moja tu.