Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Hivi NEC na Tendwa mko wapi? JK amekuwa anagawa pesa huko Tunduma kwa wapiga kura kwa kisingizio cha kusaidia walemavu, je huku sio kununua kura za hao walemavu? Sheria ya gharama za uchaguzi inasemaje kuhusu ili? (Source: Raia Mwema, 8 - 14 Septemba, uk. 6 picha).