Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Nimejaribu kufuatilia na kubaini asilimia kubwa ya kila analoagiza Dr. Slaa linatekelezwa na rais, hii inamaanisha nini kuwa Slaa anaona mbele zaidi ya Kikwete?
Nikianza na suala la kupelekwa mahakamani kwa baadhi ya wezi wa EPA, BOT nk, nikija suala la kurudishwa bungeni kwa sheria ya gharama ya uchaguzi pia JK kutekeleza suala la mishahara ya wafanyakazi na mengine, nagundua JK anatekeleza maagizo ya Dr. Slaa.
"Juzi tulipopita Morogoro, tuliahidi kushughulia tatizo la Mtibwa, leo Rais Kikwete ameingilia kati na kumaliza tatizo hilo.
"Niliagiza amfukuze aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), marehemu Dk. Daud Balalli, akamfukuza, nikaagiza amfikishe mahakamani Mramba na wenzake, akafanya hivyo, kwa hiyo sitashangaa leo akiamua kumaliza suala la DECI, sasa nasema atupishe wenyewe, tuongoze nchi," alisema Dk. Slaa.
Je Kikwete kwa kufuata maagizo mengi ya Slaa huoni JK anaonekana kama waziri tu na si kiongozi wa nchi, kwanini asimwachie Slaa mwenyewe aongoze nchi?
Nikianza na suala la kupelekwa mahakamani kwa baadhi ya wezi wa EPA, BOT nk, nikija suala la kurudishwa bungeni kwa sheria ya gharama ya uchaguzi pia JK kutekeleza suala la mishahara ya wafanyakazi na mengine, nagundua JK anatekeleza maagizo ya Dr. Slaa.
"Juzi tulipopita Morogoro, tuliahidi kushughulia tatizo la Mtibwa, leo Rais Kikwete ameingilia kati na kumaliza tatizo hilo.
"Niliagiza amfukuze aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu (BoT), marehemu Dk. Daud Balalli, akamfukuza, nikaagiza amfikishe mahakamani Mramba na wenzake, akafanya hivyo, kwa hiyo sitashangaa leo akiamua kumaliza suala la DECI, sasa nasema atupishe wenyewe, tuongoze nchi," alisema Dk. Slaa.
Je Kikwete kwa kufuata maagizo mengi ya Slaa huoni JK anaonekana kama waziri tu na si kiongozi wa nchi, kwanini asimwachie Slaa mwenyewe aongoze nchi?