Sam Seaborn
Member
- Aug 20, 2011
- 98
- 39
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).
Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.
Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.
Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.
Amin.
Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.
Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.
Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.
Amin.