JK anaenda Hijja Suudia mwaka huu 2012

Sam Seaborn

Member
Aug 20, 2011
98
39
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.
 
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.

Aaamin. Inshaallah.
 
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.

Hivi akirudi yeye hupewa maji ya zam zam tani ngapi?

maana yule rais hawezi kurudi na vijigaloni viduchu viduchu. Na pia tuombe asisahau kumchukua na ankal Mtawa na bwana Miraji
 
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.

Mbona habari imekaa kimajungu na kinafiki?
 
Imeandikwa kapatane na nduguzo kwanza ndio uje kwangu!! wana wa nchi wanakaribia kupigana wao kwa wao kule mbagala halafu kabla zogo halijaisha wenda kuhiji,SWALA ITASWIHI?
 
achukue na mafisadi wote labda watasafika na kurudisha walichoiba, pia asisahau zile suti alizohongwa, arudishe asije akafia huko!
 
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.

Sasa ataitwa; AL HAJI DR GENERALI Ph.D PRESIDENT Jakaya Mrisho Kikwete, ESQ
 
Kwa jina la Allah (SW) Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Kuna taarifa kuwa Rais wetu mpendwa Dr Jakaya Mrisho Kikwete akijaaliwa uzima na Uhai Inshallah atajumuika na mahujaji wengine waliotangulia kula Suudia (Saudi Arabia).

Sasa sina hakika kama habari hizi zina ukweli lakini kama waaminivyo waislam kuwa Hijja ni mpaka uitwe ndio maana utakuta majajiri na marais wengi tuu waislam lakini hawajawahi kwenda hijja.

Mimi namuomba Allah amjaalie safari njema, na pia ingependeza zaidi akawachukua na wanae na hususana yule Ritz maana mahasidi wamemzunguka na mitihani ya kila namna na kila kukicha.

Hili ni jambo la kheri na nawatakia safari njema na Allah awafanyie wepesi kwenye mambo yao yoote.

Amin.

Si kweli kuwa Kufanya HAJJ mpaka ALLAH akuite huu ni upotoshaji na kutojua uislam unasemaje ila HAJJ anafanya muislam yeyote kwa sharti la kuwa na uwezo (kifedha na kiafya)

achana na habari za kuzulia watu kwenye imani zao eti mi "nijuavyo" wakati Huna uhakika
 
Si kweli kuwa Kufanya HAJJ mpaka ALLAH akuite huu ni upotoshaji na kutojua uislam unasemaje ila HAJJ anafanya muislam yeyote kwa sharti la kuwa na uwezo (kifedha na kiafya)

achana na habari za kuzulia watu kwenye imani zao eti mi "nijuavyo" wakati Huna uhakika

Haya mnaanza tena mabishano yale yale ya 'kujolea Kurani'!!!! Visasili vya imani za Kiislamu vitakuja kusababisha watu kutoana ng'eo.
 
DOKTA WA MAGUMASHI ANAENDA HlJA YA MAGUMASHI NA ATAKUWA AL HAJ WA MAGUMASHI.
 
Kama ni kweli, kila la kheri na Mwenyezi Mungu amwongezee maarifa na ufahamu wa kujibu maswali kwa hekima bila ya jazba.
Mwenyezi Mungu amuongoze katika njia ilionyooka, auchukie UFISADI na MAFISADI wote (hata kama ni mtoto wake) awafikishe katika vyombo vya sheria.
Mwenyezi Mungu amuongezee nguvu na awashinde mafisadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom