Jk anadesa kwenye vikao vya kimataifa

Mupirocin

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
1,739
744
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.
 
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.

Inawezekana alianza siku nyingi.
 
61086638.DSC_0185.jpg
 
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.

Hilo liko wazi, haiwezekani hapa nyumbani anacheka cheka tu na kuzunguka point moja nusu saa halafu utegemee awe na akili tofauti katika vikao vya kimataifa ambavyo, marais wenzake na mawaziri wanasoma sana na wanaelewa mambo dunia nzima
 
Hapo ana wa kumdesea,akaamue aingie na karatasi ili adese kwenye karatasi!!!!
Inaonekana kipindi akiwa chuo alikuwa anadesa sana,sasa si adese kwa maraisi wenzake wenye mafanikio wanafanikiwa vp kuinua uchumi wa nchi na wananchi wao!!!!!!!!!!
 
Kama umewahi kumsikia akihutubia kwa kweli si mbaya kwa lugha ya kiingereza ila na wasiwasi kuwa alikuwa MDESAJI sana akiwa shule kiasi kwamba akiachwa mwenyewe hajiamini!
 
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.

Jamaa amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kipindi cha mkapa for 10 yrs, na mkapa mikutano kibao alikuwa anamuwakilisha mpaka mkapa mwenye akasema JK ni mashine nyingine. Hapo wataka kusemaje ? mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
 
Amezoea kuandikiwa hotuba ambazo watz wanampigia makof hata akiongea pumba na ndo sabab issue ambazo ni critical huwa an adress wazee wa ccm Dar !! kwann hujiuliz why hajawah kuita wasomi wa vyuo vikuu na waandish habari akaongea nao??
Huko kwenye vikao vya kimataifa hakuna wa kumpigia makof!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.

... aagh!. The mada could be seen as a reflection of ones pettyness in that its all about an individual and thus the discourse should focus on ideas instead. You might think that I support what the man stands for. On the contrary! This same fellow has entered a second term of Presidency after all. Isnt that a milestone?. How he got there is not the issue. The fact remains that he got there and he is there presently. I am heading to a simple conclusion that whoever put this man in power is incredibly THICK and as witnesses, the price is being paid for. So if kudesa means one being an accomplished thick, he aint alone. Changanya na zake na walomchagua.
 
Natamani kufahamu Pres. Obama alikuwa anawaza nini?


alikuwa anafikiria "hivi huyu jamaa kwao hakuna ma 'apples' nini, mbona katolea macho?....maana anachoongea mi hata sielewi....nimemuuliza kwa nini nchi yake masikini eti anasema hata yeye hajui...dah!"
 
Jamaa amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kipindi cha mkapa for 10 yrs, na mkapa mikutano kibao alikuwa anamuwakilisha mpaka mkapa mwenye akasema JK ni mashine nyingine. Hapo wataka kusemaje ? mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Jamani msema kweli mpenzi wa Mungu! Lini na wapi Mkapa aliwahi kusema eti JK ni mashine nyingine? Tuache ushabiki. Kila mtu anajua kuwa IQ ya JK haifikii hata 50% ya Mkapa, pamoja na kuwa wote wana kale kaugonjwa cha kimaadili kinachojulikana kama ufisadi, ila pamoja na mapungufu yake Ben alikuwa intelligent. Kama utakumbuka vizuri Tim Sebastian alimvulia kofia katika Hard Talk (orijino) BBC kwani Mkapa alifanikiwa kujenga hoja yake vizuri pamoja na challenges. Sasa mi sijawahi kumwona JK katika debate show yoyote hata ya hapa nchini (refer debate shows za uchaguzi) sembuse ya huko nje! Yaani hii ndo Achilles heel ya JK kama mwanasiasa!
 
alikuwa anafikiria "hivi huyu jamaa kwao hakuna ma 'apples' nini, mbona katolea macho?....maana anachoongea mi hata sielewi....nimemuuliza kwa nini nchi yake masikini eti anasema hata yeye hajui...dah!"

Inachekesha kweli kwa sababu imekaa ki=ukweli
 
Jamaa amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kipindi cha mkapa for 10 yrs, na mkapa mikutano kibao alikuwa anamuwakilisha mpaka mkapa mwenye akasema JK ni mashine nyingine. Hapo wataka kusemaje ? mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

we nawe usitake kutia watu hasira hapa?? mkapa lilivyo na maakili vile eti amsifie kilaza JK kuwa mashine?au mashine ya kuchakachua kura...hebu nipishe kule
 
Jamani msema kweli mpenzi wa Mungu! Lini na wapi Mkapa aliwahi kusema eti JK ni mashine nyingine? Tuache ushabiki. Kila mtu anajua kuwa IQ ya JK haifikii hata 50% ya Mkapa, pamoja na kuwa wote wana kale kaugonjwa cha kimaadili kinachojulikana kama ufisadi, ila pamoja na mapungufu yake Ben alikuwa intelligent. Kama utakumbuka vizuri Tim Sebastian alimvulia kofia katika Hard Talk (orijino) BBC kwani Mkapa alifanikiwa kujenga hoja yake vizuri pamoja na challenges. Sasa mi sijawahi kumwona JK katika debate show yoyote hata ya hapa nchini (refer debate shows za uchaguzi) sembuse ya huko nje! Yaani hii ndo Achilles heel ya JK kama mwanasiasa!


hahaaa kuna moja aliulizwa na SHAKA SALI wa VOA kwa nini TZ masikini akasema hajui kwa kweli kwa nini nchin hii ni masikini....nilitamani kuzirai
 
Jamaa amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kipindi cha mkapa for 10 yrs, na mkapa mikutano kibao alikuwa anamuwakilisha mpaka mkapa mwenye akasema JK ni mashine nyingine. Hapo wataka kusemaje ? mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Acheni ushabiki, JK ni kilaza, hilo mbona liko wazi tu...
Kama uliangalia vizuri mikutano ya World Economic Forum, huwezi kushangaa habari hii!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom