Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Nimekuwa nikimuangalia jk kwenye mikutano ya kimataifa anaonekana kama mtu ambaye haelewi yanayozungumzwa kiasi kwamba lazima akae na mtu karibu ili kudesa(kuigilizia au kutafsiliwa). Mfano ni mikutano miwili ambayo ni ule wa world economic forum Davos ambapo alikaa na mtaala kiingereza mh. Ben mkapa huku akionekana hajiamini, nyingine ni juzi hapa huko Ivory coast, wakati kikao kinaendelea anaonekana kumsumbua Mh. Ben Membe huku akionekana haelewi. Ninawasiwasi na uelewa wake kwenye international meeting. Au wanajamii mnamwonaje.