Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
mwangalie JK anavyomshika mkono mbowe...............na hata tabasamu lake linaonekana halitoki moyoni.............hata alivyomshika mkono mbowe hakuna msisitizo au fumbate la kuwa wapo pamoja................ni fumbate mwororo sana la mtu ambaye anataka kuvunja makutano aendelee na shughuli ya kusaini sheria ya mchakato wa katiba mpya...........mwangalie mbowe hata kumwangalia JK machoni hawezi.......................unapoona mtu hawezi kukutanisha macho yako na ya kwake ujue hana nia nzuri nawe...........................na unapoona tabasamu ni la kijuujuu ujue usaliti upo njiani.....................yaani amekumulika mchana ili usiku akuchome.............................Jk alichotaka ni Chadema wamtambue kwa kumtembelea ikulu lakini siyo kufanyia kazi ushauri wao.....................................Chadema walifikiri kuwa wanaweza kumbadilisha mbuzi kuwa kondoo................sasa wanajua vyema....................
kati yao yupi ni msaliti wa mwenzie..........................................?????????????????????
au wote walisalitiana tu?