Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Sasa Vicky amemwomba Jk amuteu Mjomba wake au huyu mjomba wanafahamiana na Jk?
According to Marytina anasema Vicky alitoa mambo fulani kwa JK ili kurahisisha uteuzi wa mjomba wake.
Sasa Vicky amemwomba Jk amuteu Mjomba wake au huyu mjomba wanafahamiana na Jk?
Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni. Kuna yule Waziri mwenyedhamana ya ustawi wa jamii jinsia na watoto alikuwa mwimba taarabu, ni Mpododo kwa kwenda mbele, yaani JK alifurahishwa na ule mkorogo wake akamteua kuwa waziri. Mkuu anayejua taarifa za Zakia Meghiji atuwekee hapa jamvini.GreatThinkers,
Filamu anazocheza Jk ni zile zile ingawa zina Title tofauti. Ni kweli Mh. Ndikilo mkuu mpya wa mkoa wa Mwanza ni Mjomba wa Vicky Kamata ushahidi ninao
Sijajua ni kwa nini mbinu hii chafu anaiendekeza, leo hii naandika nikiwa Nairobi-Kitongoji cha Makadara.
Nikitua Bandari ya Salama itabidi nandike bango pale Magogoni ili akilisoma anijibu kupitia hotuba zake mwisho wa mwezi anazotayarishiwa na Mwimbaji wa Taarabu.
Nawasilisha.
je angemteua Kaka yako? Ungeongea? Hizo ni chuki zilizopitiliza kiasi. Hata kama una ushaidi ni mjomba wake,ilo halituhusu wa-tz,tunachohitaji ni utendaji kazi. Hatutaki kujua mahusiano ya watu.
Amelewa nini, mbona hujibu kama ni kweli au uongo! Halafu Spencer leta data acha longo longo za ushahidi unao.We umelewa ni nini?
According to Marytina anasema Vicky alitoa mambo fulani kwa JK ili kurahisisha uteuzi wa mjomba wake.
Ina maana mkuu wa kaya anakamata hiyo kitu?tatizo kuna mazingira ya rushwa ya ngono hapa
Kwani kuwa Mjomba wa Vicky Kamata ni dis-qualification?.GreatThinkers,
Filamu anazocheza Jk ni zile zile ingawa zina Title tofauti. Ni kweli Mh. Ndikilo mkuu mpya wa mkoa wa Mwanza ni Mjomba wa Vicky Kamata ushahidi ninao
Sijajua ni kwa nini mbinu hii chafu anaiendekeza, leo hii naandika nikiwa Nairobi-Kitongoji cha Makadara.
Nikitua Bandari ya Salama itabidi nandike bango pale Magogoni ili akilisoma anijibu kupitia hotuba zake mwisho wa mwezi anazotayarishiwa na Mwimbaji wa Taarabu.
Nawasilisha.
Kuwa wazi bwana alitoa nn? Here is where we dare to talk openly...wengine hatuzijui hizo lugha zenu za kihuni.According to Marytina anasema Vicky alitoa mambo fulani kwa JK ili kurahisisha uteuzi wa mjomba wake.
Ndiyo zake hizo, kwa kulipa fadhila hata kama ni za chupi, hajambo mheshimiwa.GreatThinkers,
Filamu anazocheza Jk ni zile zile ingawa zina Title tofauti. Ni kweli Mh. Ndikilo mkuu mpya wa mkoa wa Mwanza ni Mjomba wa Vicky Kamata ushahidi ninao
Sijajua ni kwa nini mbinu hii chafu anaiendekeza, leo hii naandika nikiwa Nairobi-Kitongoji cha Makadara.
Nikitua Bandari ya Salama itabidi nandike bango pale Magogoni ili akilisoma anijibu kupitia hotuba zake mwisho wa mwezi anazotayarishiwa na Mwimbaji wa Taarabu.
Nawasilisha.