Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
..mwacheni bwana acheze ngoma ya kwao..ndio gharama hizo....lazima tuwepo kumlinda..au sio,...hangeweza kuacha kumcheza mwanae just kwa kuwa ni rais...na serikali isingeacha kutupia jicho pale just kwa kuwa yupo ngomani........
...labda mseme cheki ya kugharamia shughuli hii ilitoka ikulu???.......au tuseme ngoma zetu ni za kishenzi..???...
kumbuka rais aliwatetea wale watu wa uyui ..amabapo mkuu wa wilaya alipiga marufuku ngoma kwa saababu ya mimba...akasema mbona mijini hakuna ngoma na mimba zinaingia,,,..alitaka viongozi waheshimu mila na desturi za watu..
...labda mseme cheki ya kugharamia shughuli hii ilitoka ikulu???.......au tuseme ngoma zetu ni za kishenzi..???...
kumbuka rais aliwatetea wale watu wa uyui ..amabapo mkuu wa wilaya alipiga marufuku ngoma kwa saababu ya mimba...akasema mbona mijini hakuna ngoma na mimba zinaingia,,,..alitaka viongozi waheshimu mila na desturi za watu..