Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Mhh, nipo hapa nasubiri picha za wana CHADEMA na nimeona za CCM.
Nikiona zote basi nachanganya Za kuambiwa na za kwangu.
Ila kwa kuwafahamu Wanyamwezi, inawezekana hali ilikuwa hivi:
Walifika mapema na kupata burudani. Alipoingia Kikwete, wakakaa kumsikiliza na picha zikapigwa ambazo tunaona zipo kwa Michuzi. Walipoona stori ni zilezile basi wakaanza kujiondoa taratibu na ndiyo maelezo ambayo Revocatus kaandika.
Nasubiri picha zote tuone kipi ni kipi maana siku hizi wote tumekuwa Mbayuwayu ati.
Nikiona zote basi nachanganya Za kuambiwa na za kwangu.
Ila kwa kuwafahamu Wanyamwezi, inawezekana hali ilikuwa hivi:
Walifika mapema na kupata burudani. Alipoingia Kikwete, wakakaa kumsikiliza na picha zikapigwa ambazo tunaona zipo kwa Michuzi. Walipoona stori ni zilezile basi wakaanza kujiondoa taratibu na ndiyo maelezo ambayo Revocatus kaandika.
Nasubiri picha zote tuone kipi ni kipi maana siku hizi wote tumekuwa Mbayuwayu ati.