JK Akwepa kuzindua Ukarabati CRDB Shinyanga

Mgoyangi

Senior Member
Feb 6, 2008
184
9
Kuna habari hivi sasa kuwa JK amegoma kufungua jengo la CRDB shinyanga lililokarabatiwa na nyeti zinasema kuwa kuna ubadhirifu wa hisa za wananchama -- ambazo zimechotwa kinamna na -- kutokana na skandali hiyo kiasi kama zaidi ya milioni 200 zimeishia mikononi mwa wajanja wachacha na tayari afisa Ushirika mmoja yupo mbaroni.

JK yupo katika ziara mkoani Shinyanga ambapo leo anazindua shule ya msingi ya Masengwa wilaya ya Shinyanga ambayo ilianza kujengwa na wapinzani -- lakini baadaye ikatekwa na Buzwagi na makada wengine kuhakikisha kuwa inakamilika.

Kesho anazindua Savannah Plains Int Schoo ya mjumbe wa NEC Hamad Hilal ambayo nimeona walimu wazungu tupu na mtanzania mmoja tu
 
hehehehehe
only in tanzania.

Hiyo ya kufungua shule ambayo walimu wake ni wazungu watupu huku mmoja akiwa ni Mtz anatupa mtazamo gani?? asije akasema kwamba walimu wa bongo hawaajiriki na wawekezaji huria kwa kuwa ni wezi!!! lol

Lakini kwa nini rais hakai ikulu na kutulia?? je hawaamini wasaidizi wake? au anakasimu madaraka kwa watu ambao anadhani wanamsaidia?? maana kila baada ya kitambo kidogo utasikia rais yupo mkoa au nchi fulani. au anataka kuvunja rekodi ya safari???
 
Kuna habari hivi sasa kuwa JK amegoma kufungua jengo la CRDB shinyanga lililokarabatiwa na nyeti zinasema kuwa kuna ubadhirifu wa hisa za wananchama -- ambazo zimechotwa kinamna na -- kutokana na skandali hiyo kiasi kama zaidi ya milioni 200 zimeishia mikononi mwa wajanja wachacha na tayari afisa Ushirika mmoja yupo mbaroni.

JK yupo katika ziara mkoani Shinyanga ambapo leo anazindua shule ya msingi ya Masengwa wilaya ya Shinyanga ambayo ilianza kujengwa na wapinzani -- lakini baadaye ikatekwa na Buzwagi na makada wengine kuhakikisha kuwa inakamilika.

Kesho anazindua Savannah Plains Int Schoo ya mjumbe wa NEC Hamad Hilal ambayo nimeona walimu wazungu tupu na mtanzania mmoja tu
safi sana JK ila hiyo ya walimu wazungu na mtanzania mmoja tu nadhani si tatizo maana ndio mambo ya soko huru hayo.
 
Kuna habari hivi sasa kuwa JK amegoma kufungua jengo la CRDB shinyanga lililokarabatiwa na nyeti zinasema kuwa kuna ubadhirifu wa hisa za wananchama -- ambazo zimechotwa kinamna na -- kutokana na skandali hiyo kiasi kama zaidi ya milioni 200 zimeishia mikononi mwa wajanja wachacha na tayari afisa Ushirika mmoja yupo mbaroni.

JK yupo katika ziara mkoani Shinyanga ambapo leo anazindua shule ya msingi ya Masengwa wilaya ya Shinyanga ambayo ilianza kujengwa na wapinzani -- lakini baadaye ikatekwa na Buzwagi na makada wengine kuhakikisha kuwa inakamilika.

Kesho anazindua Savannah Plains Int Schoo ya mjumbe wa NEC Hamad Hilal ambayo nimeona walimu wazungu tupu na mtanzania mmoja tu

Hiyo Savannah Plains International School iko njiani ukiwa unatoka Shinyanga kwenda Mwanza. Ni shule kubwa na ya kisasa sana! Mwekezaji wake anawatarget wazungu wanaokuja kufanya kazi katika migodi iliyoko kanda ya Ziwa. Ila kwa uzoefu wangu, wengi wao huwa hawaji na watoto wao. Anyway, its an investment.
 
Hivi hali ya shule kama savannah Int school hapa tanzania ikoje? zipo ngapi na umiliki wake ukoje na zinafuata syllabus gani?

Maana kuna fikra mbadala kwam,ba nyingi ni za wazungu ambao wanawatumia wabongo kama vibaraka?

Mwenye nondo atushushie tafadhali?
 
Aangalie hizi zinduzi-zinduzi zake.!

Wajanja wasije wakamshikisha mapembe kama ilivyofanyika Arusha kwenye hoteli ya snow-crest, ambako alizindua hoteli na jioni yake ikabomolewa na manispaa!

Maana washauri wa huyu bwana ni bogus wooote!
 
Back
Top Bottom