mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
eti anasema hao wakuu waache kugawa ardhi ovyo...kwani ni nani anayegawa ardhi kama sio yeye na mawaziri wake... huyu mkuu wetu sijui anafikiri anaongea na watoto wa darasa la pili ama vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Wazee kuwapisha Vijana Haraka Haraka italisababishia Serikali ya CCM matatizo makubwa haswa; Ukiangalia Utendaji ya wajumbe wa CC Vijana na ni Wasomi ni hatari kama Vile Mchemba na Nape ni kama Vile hawajaenda Shule hawana Mwamko hawana Hekima, Muda wao Wote ni Ugomvi yoyote aliye upinzani ni Adui wao.
Nngu007,
Mzee Kawawa aliwahi kusema ukifanya jambo Adui yako akakusifia ujue umekosea, lakini ukifanya adui yako akalalamika ujue uko sahihi! Toka Nape awe katibu mwenezi amekuwa akitukanwa kila aina ya matusi, kisa amekuwa mwiba kwa upinzani nchini!! Mbona kabla ya hapo alionekana shujaa?!!!! Mkimsifu kwa kila sifa, sasa anatukanwa mpaka matusi ya nguoni.... Siasa hizi za hovyo, siasa za kuamini ili mradi hakuungi mkono ni mshenzi hana maana, akigeuka leo kukuunga mkono anakuwa shujaa ghafla.... Huu ni upuuzi.
Rais wetu JK mara nyingi matendo yake tofauti kabisa na matendo ameteua wakuu wa wilaya ambao wengi ni wanajeshi na askari wantafu anaposema wazee watoke wawaachie vijana anamanisha nini, kijana ni under 45 karibu robo tata ya wakuu wa wilaya alioteua ni over 45 ambao tayari si vijana
JK, preach what you do. Juzi tu hapa umetoka kumwapisha Mwandosya, umri umekwenda,anaumwa, leo unawaambia wazee waachie ngazi! Kwani Mwandosya asingeweza kuwa mshauri bila uwaziri?
je hana uhusianao na madc aliowateua wakina kirigini,mayenga na mbunge wake wa zamani wa chalinze maneno aliyempa udc kigoma? Mifano hii michache inatosha!! Usitake tusema mengi kwani nani asiyejua ukware wa huyu mkweree na jinsi anavyohonga vyeo kwa washikaji zake!!
Naomba kuliweka sawa hili,kuhusu utendaji wa serikali bila kujali umri wa mtu ni vema tukaangalia mchango wa mtu katika ujenzi wa taifa kwani kuna vijana tunao lakini wanakosa busara uongozi na kuna wazee pia tunao wanakosa busara uongozi hivyo ni vema tukawapima kwa utendaji wao wenye busara uongozi bila kubagua kwani yatupasa kutambua kuna wazee wenye upeo mkubwa na wanahitaji mawazo yao kuwaachaia vijana wenye upeo kuweza fanikisha maendeleo ya wananchiIt is high time Kikwete started walking his talk; anasema wazee wawapishe vijana ili wao wawe washauri lakini wakati huo huo anawateua wazee useless kabisa kuwa wakuu wa wilaya ; mfano ni Luteni mstaafu Yamungu huyu licha ya uzee pia ni mlevi na kitu anacholingia ni kwamba Kikwete ni rafiki yake!! Akumbuke pia kuwa ujana sio mara zote kuwa ishara ya kuweza kuwa mtendaji kuliko watu wa umri mkubwa; mifano ya kina Maige na Masha tunayo ingali hai!!
edwin mtei muasisi wa cdm huku mkwewe aliyeoa binti yake bwana freeman mbowe akihakikisha anampa uenyekiti wa cdm,tundu lissu mbunge wa singida dada yake ni christina lissu mbunge viti maalumu cdm,rose kamili mke m kubwa wa dk slaa ni mbunge viti maalumu wa cdm,grace kiwelu ambaye ni mbunge wa viti maalumu ni mkwe wa mzee ndesamburo ambaye ni mjumbe wa kamati kuu ya cdm,mfadhili na mbunge wa moshi mjini huku binti yake wa kumzaa akiwa pia mbunge wa viti maalumu sasa wapi ambako hakuna vyeo vya kishikaji ?