Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Anaonekana akiwaza " Duh aisee pesa zikiisha shurti u-print zingine, maisha bora kwa kila Mtanzania..."
Mafisadi watakula wapowakiondoa hizi noti?Hivi serikali inaona ugumu gani kuondoa hizo noti kwenye mzunguko kama kweli zina matatizo?
Pia mabenki na wananchi kwani nini wanaendelea kuzitumia kama zina matatizo?
Watu wagome kuzitumia.