JK akifanya mazoezi lakini....

politics at work..mzee akili yako fupi sana...yaani umeishia kwenye jeans tuu..hakyanani vile hufai humu JF..wewe hujaangalia nini ilikuwa nyuma ya pazia kwa hiyo action ya JK kufanya mazoezi arusha?? jiulize
 
Ningetamani niione Picha ya Kibaki akiwa anafanya mazoezi, kama anafanya at all
 
View attachment 55511

Nafikiri yalikuwa ni matembezi ya jioni. Ajifunze kwa wenzake wanaoongozwa na instructors (Bi Rice pichani). Sasa jamaa hata akimaliza hizo Km3 anakuwa wabariiidi hata tone la jasho hana.

Mkuu dah! Whisper .. umenikumbusha huyu Condi

condoleezza-rice_2.jpg


condoleezajogging.jpg


condi-workout.jpg


Condicize01.jpg



0,1020,1332154,00.jpg
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom