can u spot the secret service fool?Jamaa wana bunduki viunoni sasa track suit inampira haiwezi uzito wa chuma.
JK kumbe huwa anafanya mazoezi na tusisahau kuwa ni mwanajeshi
Tatizo ni hao wapambe wake na hasa huyo aliyevaa jeans..
chezea bujbuji weye!!!!!!!!du hii kali nayo...jf kazi kwelikweli
tafuta kitabu hiki...Within Arm's Length: The Extraordinary Life and Career of a Special Agent in the United States Secret Service cha Dan Emmett.......soma na uje utoe comment kama hiyo.....
Kumbuka kuwa hapo anayefanya mazoezi ni mmoja, yaani Rais tu. Hao wengine wako kwenye kazi inayowapa mkate wao wa kila siku. Kama wakivaa track suit wote, watachomeka wapi Mhe. Rage ?
mkuu Ndahani hii nimeichukua kwa mkuu jasusi....william kila akijipindua anamwambia anampa majina ya vitabu akasoma kwanza.....alijua sana usomaji wa vitabu ni tatizo.....
Yule aliyezubaa mpaka Mzee Mwinyi akazabwa kibao alichaguliwaje?
Mazoezi ya viungo bila matumizi madhubuti ya kondom ni kazi bure
mkuu Ndahani hii nimeichukua kwa mkuu jasusi....william kila akijipindua anamwambia anampa majina ya vitabu akasoma kwanza.....alijua sana usomaji wa vitabu ni tatizo.....
Dah hao jamaa nao wanafanya mazoezi pasipo kupenda!JK kumbe huwa anafanya mazoezi na tusisahau kuwa ni mwanajeshi
Tatizo ni hao wapambe wake na hasa huyo aliyevaa jeans...inawezekana vipi rais anayependa kupiga pamba akazungukwa na watu waliochoka namna hiii?
Mazoezi ya viungo bila matumizi madhubuti ya kondom ni kazi bure
UKitaka kujua most ya wabongo wana matatizo makubwa kwenye ujengaji wa hoja.....angalia malumbano ya hoja ITV.....mama yangu arifu wale wasomi wana hoja mufilisi sana....sio kwamba hawana akili ila hawnaa exposure kwenye masuala ya msingi ambayo kwa namna moja au nyingine wangeipata sio kwa ku attend AFDB summit ila kwa kujisomea vitabu......Mkuu Yo Yo, Tukipenda kujisomea, na sio kusomea maPhd yetu ya kuokota tutakuwa watu tofauti sana. Tunavyojenga hoja zetu tu mtu anaweza kuona kama kweli tunajua tunachokisema.
Idadi yetu kubwa bado tunaamini katika masimulizi....kwenye ulimwengu unaotutaka tujielimishe na kujifunza kweli kweli.Ila I salute Jasusi....ni mmoja ya watu ambao wako vizuri upstairs...no emotions wala bad mouthing...ni hoja zilizopangiliwa
Sasa huyo mnayedhani amechoka ndiyo amefuzu mafunzo vizuri hadi yakadhoofisha afya yake hapo ikitokea kitu anaruka kama tumbili akiwa kwenye mti vile, usiombe.
Atakuwa anahesabu hatua ili amiliki hilo
eneo, naona lina rutuba sana,
sizani kama kuna mazoezi hapo.