Jamaa amechelewa kutua hapa kahama,ameanza kuhutbia saa kumi na mbili jioni hii na bado anaendelea hadi sasa wakati hap juzi cuf waliongeza dakika 10 tu polisi wakawatoa mbio,amekuja na msafara wa magari ya serikali kama kawaida yake akisahau yupo kwenye kampeni za chama