MTWA
JF-Expert Member
- Aug 5, 2009
- 1,166
- 166
Najua kashashindwa japo yeye na vijana wake wanajaribu kutapatapa.
Anajua hafai, kwamba kashindwa jumla, katafuata mabilioni aliyospent lakini hajui nanii kala.
Angekuwa muwazi na anajua wapi aende baada ya tarehe hiyo angemwachia tu Dr. Slaa aendelee.
Mimi nafikiria sehemu gani aende maana si kawaida kuondoka kabla ya miaka 10, nayeye ndo wa kwanza,
Tumsaidie kwa maoni aende wapi ndugu yetu handsome?
Anajua hafai, kwamba kashindwa jumla, katafuata mabilioni aliyospent lakini hajui nanii kala.
Angekuwa muwazi na anajua wapi aende baada ya tarehe hiyo angemwachia tu Dr. Slaa aendelee.
Mimi nafikiria sehemu gani aende maana si kawaida kuondoka kabla ya miaka 10, nayeye ndo wa kwanza,
Tumsaidie kwa maoni aende wapi ndugu yetu handsome?