Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Hivi karibuni kumeibuka shutuma nzito kuhusu udini kwenye kampeni za uchaguzi. Hali iliyopelekea JK kuishutumu moja kwa moja CHADEMA akiwa Lindi kwamba wanaeneza udini na ukabila.
Kwa mashabiki wake na walio karibu naye wampe hii line labda itamsaidia kujipambanua. Pls see the clip:
YouTube - Obama To Letterman: "I Was Black Before The Election"
Kwa mashabiki wake na walio karibu naye wampe hii line labda itamsaidia kujipambanua. Pls see the clip:
YouTube - Obama To Letterman: "I Was Black Before The Election"