SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Ni Bi Mari Chatanda!!
Ni mtazamo nilionao mimi pia lakini JK anamuamini sana huyu jamaa kuliko wengi wanavyo fikiri , baada ya kupewa wizara mpya amepewa jukumu la kuandaa mpango wa maendeleo wa miaka mitano na kama ukiangalia hii movie unaona ni mpango mahususi wa kutimiza ndoto za jk za ahadi alizozitoa.atatawala kwa miezi kabla nchi haijaingia kwenye machafuko huyu ni mpenda shari tena ni dikteta!
jk kamuandaa tambwe hizaKuna tetesi kuwa J.K ameweka watu wawili ambao kati ya hao, mmoja wao aje kuwa mrithi wake. Watu inasemekana kuwa ni Dr. Asha Rose Migiro na Dr Hussein Mwinyi. Wana JF mmeisikia hiyo??
jk kamuandaa tambwe hiza
dah..hata silaa kajaliwa sura mbaya jamani..mh,majuzi hapa mdogo wangu alimuona katika tv yaani usiku kaota maruweruwe hadi leo akitokea ktk tv inabidi tuzime.Hahaa kuhusu urahisi tunabadili katiba rais atawale vipindi vinne vinneMh Wasira jaman mie sura 2....
Nadhani wengi wetu hatujui hila alizo nazo huyu J.K. Hata kama hatutaki udini lakini huyu jamaa ndiye pandikizi la udini hapa nchini. Ila kwa taarifa yenu, ameapa kuwa kwa kuwa Nyerere alitawala miaka isiyopungua 20 na mkapa 10, na yeye atahakikisha waislamu wana tawala miaka isiyopungua 30, mwinyi 10, yeye 10 na atakeyekuja 10 ndipo waanze kufikiria waendelee au vipi. Taznania hatuhitaji udini, undugu tuliokuwa nao umetusidia sana. Mimi mwenyewe nikiwa mtu wa karibu sana wakuu wa nchi hii serikalini najua ninachosema ninini. Me pia ni musilamu lakini kitu hiki sikipendi kwani nataka kiongozi wa maslahi ya wananchi na sio dini. Dini tuwaachie mashehe na wachungaji basi.[/QU
nasikia nigeria wana utaratibu huo
Ndugu yangu Sanga mbona huna updates?It is true JK anawaandaa hawa wawili kisa hayuko tayari kuiacha nchi kwa mkristuYuo are just wasting your time, Lowasa kajaa tele, let us dicuss other things
hamna udini ila JK anataka kutuletea udini tuwe kama NIGERIANaomba tu kuuliza swali na mnisamehe kwa kuwa sijagusa mada ila nimechukua kipande . Je Tanzania kuna udini au hakuna ? Majibu yenu yatanifanya niendelee au niache
Ndugu yangu Sanga mbona huna updates?It is true JK anawaandaa hawa wawili kisa hayuko tayari kuiacha nchi kwa mkristu
Umeshindwa kuzisoma Alama za nyakati au unatoa vichekesho?saafi sana! mzee silaha asome alama za nyakati mapema agombee ubunge kama mrema.la sivyo atapoteza maji ya moto na unga.mshaurini jamani..................