Jiwe la Tawi la Kingstone CDM lavunjwa-Morogoro

Lile jiwe la Tawi la Kingstone ambalo lilifunguliwa na Mheshimiwa mchungaji Msigwa na kwa maandamano zaidi ya vijana 700 katika kata ya Boma -Morogoro usiku wa kuamkia leo limevunjwa.

Ikumbukwe tangu wakati kamanda mhandisi Samwel Msagati agombee udiwani wa Kata hii nyeti katika manispaa hii ambapo alipambana na naibu meya kwa wakati ule ambapo sasa ndiye Meya wa manispaa ya Morogoro kumekuwa na mwamko mkubwa katika kata hiyo ambapo Vijana kwa wazee wanaendelea kusema bye bye kwa Magamba. Mambo hayo yamekuwa yakimtisha sana Meya amabye ndiye Diwani wa kata hii ya Boma,ambapo alishatishia kuvunja jiwe hili la utambulisho wa Tawi na pia hata Viongozi wa kata ya Boma mnamo mapema mwaka huu waliitwa na ofisa Mtendaji wa kata na kuambiwa walitoe lile jiwe pale eti CDM hawakufuata utaratibu wakati wanajenga,alipoulizwa alete huo utaratibu ambao CCM wanaufuata ili wao pia wafate Mtendaji alishindwa kutoa na kukiri kwamba yeye anafata maagizo ya Diwani ambaye ndiye huyu Meya.

Ikumbukwe pia huyu huyu Meya kwa kumtumia mkurugenzi alishawahi kutoa Tangazo ambalo lilihusu kutopeperusha Bendera katika maeneo ya wazi na makzi ya watu eti kwakuwa kuna watu ambao hawana itikadi!!! tangazo hilo lilijibiwa na CDM wilaya na Kupuuzwa.

Inashangaza kuona Kiongozi huyu anashindwa hata kutii katiba, maana katiba ibara 146(2)(C) inaelekeza kwamba mamlaka ya serikali ya mitaa itaimarisha demokrasia katika eneo lake na kuitumia demokrasia kuharakisha maendeleo ya wananchi.Kiongozi huyu ambaye anashindwa kusimamia katiba tumfanyaje?

Asante,
ni mwisho wa maarifa kupambana na dhana kwa zana.
 
Lile jiwe la Tawi la Kingstone ambalo lilifunguliwa na Mheshimiwa mchungaji Msigwa na kwa maandamano zaidi ya vijana 700 katika kata ya Boma -Morogoro usiku wa kuamkia leo limevunjwa.

Ikumbukwe tangu wakati kamanda mhandisi Samwel Msagati agombee udiwani wa Kata hii nyeti katika manispaa hii ambapo alipambana na naibu meya kwa wakati ule ambapo sasa ndiye Meya wa manispaa ya Morogoro kumekuwa na mwamko mkubwa katika kata hiyo ambapo Vijana kwa wazee wanaendelea kusema bye bye kwa Magamba. Mambo hayo yamekuwa yakimtisha sana Meya amabye ndiye Diwani wa kata hii ya Boma,ambapo alishatishia kuvunja jiwe hili la utambulisho wa Tawi na pia hata Viongozi wa kata ya Boma mnamo mapema mwaka huu waliitwa na ofisa Mtendaji wa kata na kuambiwa walitoe lile jiwe pale eti CDM hawakufuata utaratibu wakati wanajenga,alipoulizwa alete huo utaratibu ambao CCM wanaufuata ili wao pia wafate Mtendaji alishindwa kutoa na kukiri kwamba yeye anafata maagizo ya Diwani ambaye ndiye huyu Meya.

Ikumbukwe pia huyu huyu Meya kwa kumtumia mkurugenzi alishawahi kutoa Tangazo ambalo lilihusu kutopeperusha Bendera katika maeneo ya wazi na makzi ya watu eti kwakuwa kuna watu ambao hawana itikadi!!! tangazo hilo lilijibiwa na CDM wilaya na Kupuuzwa.

Inashangaza kuona Kiongozi huyu anashindwa hata kutii katiba, maana katiba ibara 146(2)(C) inaelekeza kwamba mamlaka ya serikali ya mitaa itaimarisha demokrasia katika eneo lake na kuitumia demokrasia kuharakisha maendeleo ya wananchi.Kiongozi huyu ambaye anashindwa kusimamia katiba tumfanyaje?

Asante,

Hilo jiwe labda lilikuwa na Dhahabu Au almasi wachoji wakaligeuza mgodi.
 
cdm member relax & fight 4 your country,i know together we can make mr.scales(magamba) burial
 
Back
Top Bottom