Kuna mtaa unaitwa YAYEDA(Yaeda) huko Manyara(mkoani Manyara)sijakusoma mkuu...
nmepata twin! july 31st tooJul 31st
Mbona hamtaji mwaka?
Naisubiri August 31 kwa hamu nikuimbie happy bday ili na mimi nifaidi hayo mapocho pocho hapo Avatar.31 August.
28 may
Naisubiri August 31 kwa hamu nikuimbie happy bday ili na mimi nifaidi hayo mapocho pocho hapo Avatar.
Mie April 25 siwaon24 Apr
Asante sana PATIENCE 123-unajua nilikuwa najiuliza kwanini hizo bites hapo avatar ziko nane,kumbe zinaashiria mwezi wa nane,nakosa patience naanza kuidokoa moja hiyo ya kati.August mbali sana,karibu tuanze leo,hiyo august itakuwa ni kilele .....
Pacha wangu15th march. siku ya jumatatu!
Pacha wangu
Namanga kenya & tz borderNashukuru sana jakichanii, ni vizuri kupata mtu mliezaliwa nae cku moja, niko dar ilala district, u where?! buddy...