Jiulize kama una akili timamu

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Nimekua nikijiuliza hawa wanaowapa kura hawa ccm kama wana akili timimamu,coz watu wametuongoza kwa miaka 50 nchi imetapakaa umaskini mpaka kwenye kucha,mahospitali hakuna dawa wala madaktari wa kutosha,miundombinu hakuna,kila kitu hovyo nakuuliza wewe uliyewapa hawa kura umetupeleka wapi?
 
Nimekua nikijiuliza hawa wanaowapa kura hawa ccm kama wana akili timimamu,coz watu wametuongoza kwa miaka 50 nchi imetapakaa umaskini mpaka kwenye kucha,mahospitali hakuna dawa wala madaktari wa kutosha,miundombinu hakuna,kila kitu hovyo nakuuliza wewe uliyewapa hawa kura umetupeleka wapi?

eti wametupa amani! Hahahaha.. Wendaazimu
 
jamani ee! tugange yajayo maana hawa watu watatuletea stress bure! kuna watu wamezaliwa ili wawapigie makofi wengine!
 
Kila aliyetoa kura kwa ccm hana akili timamu. Yes I say it!
Fikiri jana alinijia mtu anaomba sh. 50 thousand maana mwanae kafukuzwa shule kwa ajili ya karo tena ni shule hizi za boda boda sijui karo yote hiyo ya nini, ajabu amekuja akiwa amevalia kapelo imeandikwa chagua ccm na nilimwona kwenye shamla shamla za kusheherekea ushindi wa ccm.
Sikumwonea huruma kwani nilimpa short cut kwamba mlikataa elimu haiwezekani kutolewa bure kwa hiyo kalipe na ukishindwa, mwache mwanao achunge mbusi aiseeee. Hakunijibu bali alitoka kichwa chini. Mijitu hii haichelewi kusahau inapopata shida. Haina akili timamu.
 
Nimekua nikijiuliza hawa wanaowapa kura hawa ccm kama wana akili timimamu,coz watu wametuongoza kwa miaka 50 nchi imetapakaa umaskini mpaka kwenye kucha,mahospitali hakuna dawa wala madaktari wa kutosha,miundombinu hakuna,kila kitu hovyo nakuuliza wewe uliyewapa hawa kura umetupeleka wapi?

Sasa hapa sijui nani ambaye hana akili timamu, kati ya wewe na wao walioipigia kura CCM. CCM imetawala miaka 33 toka 1977 na siyo 50 kama unashindwa simple math na wewe pia unahitaji medical attention. Ofcource dawa haziko mahopitalini ziko kwenye pharmacies... kama wewe na akili zako unaenda hospitalini na kuulizia dawa hata humu unatakiwa uwe banned... we never know what you gonna say next.
Until that day ambapo wapinzani watajua why watu wana vote CCM ndipo watapata ushindi wa kishindo. Karibu kila mtu ninayemjua anaipinga CCM sasa cha ajabu hizi kura zote zinatoka wapi? Kuna watu wengi sana wana vote for CCM ... na ujiulize ni kwa nini watu wengi hawapigi kura....
 
Sasa hapa sijui nani ambaye hana akili timamu, kati ya wewe na wao walioipigia kura CCM. CCM imetawala miaka 33 toka 1977 na siyo 50 kama unashindwa simple math na wewe pia unahitaji medical attention. Ofcource dawa haziko mahopitalini ziko kwenye pharmacies... kama wewe na akili zako unaenda hospitalini na kuulizia dawa hata humu unatakiwa uwe banned... we never know what you gonna say next.
Until that day ambapo wapinzani watajua why watu wana vote CCM ndipo watapata ushindi wa kishindo. Karibu kila mtu ninayemjua anaipinga CCM sasa cha ajabu hizi kura zote zinatoka wapi? Kuna watu wengi sana wana vote for CCM ... na ujiulize ni kwa nini watu wengi hawapigi kura....

Huhuhuuuu kidumu chama cha mapinduzi. Waliopigia ccm kura wote wana akili timamu sijui ww.?
 
Kila aliyetoa kura kwa ccm hana akili timamu. Yes I say it!
Fikiri jana alinijia mtu anaomba sh. 50 thousand maana mwanae kafukuzwa shule kwa ajili ya karo tena ni shule hizi za boda boda sijui karo yote hiyo ya nini, ajabu amekuja akiwa amevalia kapelo imeandikwa chagua ccm na nilimwona kwenye shamla shamla za kusheherekea ushindi wa ccm.
Sikumwonea huruma kwani nilimpa short cut kwamba mlikataa elimu haiwezekani kutolewa bure kwa hiyo kalipe na ukishindwa, mwache mwanao achunge mbusi aiseeee. Hakunijibu bali alitoka kichwa chini. Mijitu hii haichelewi kusahau inapopata shida. Haina akili timamu.

Feeling may be mutual!

kumbuka watu wametofautiana mitazamo na akili, huwa hawalazimishwi kuamni kitu fulani, ni kama dini vile

Njia pekee ya kuwashinda ni kuandaa strategy za ushindi. utapata stress bure na utatukana mpaka mama yako!!! just imagine watu millioni 5 kila mmoja ukamtukana!!!

kwa msimamo wangu naona waliopiga kura hata kuwapa chadema ndio hawana akili kabisa!! ilikuwaje watu wakaingia kwenye uchaguzi hali wakijua NEC ni ya CCM? haiko fair?? tukishindwa kubadili NEC basi CCM ni giant, na wale waliowapa kura wana imani nacho hata kama ni wendawazimu!!

hupo hapo??? waambie hao mnaowaona wakombozi waanze kwanza na vitu vya msingi, utaonekana mjinga zaidi wakati wenzenu wanawaza kula na kupata fedha nyingi baada ya uchaguzi na ruzuku kuongezwa.

Said that! oppotion tanzania ni wabaya kuliko maelezo kwa ku-manipulate tanzanian and giving them false hope, that lef 10million people not to vote!!!! sijui hao utawaitaje!
 
AKILI ZAO NI 'SHAKE WELL BEFORE USE'. Kama sio matajiri sana (walio wengi), basi ni maskini sana (walio wengi); makundi haya mawili akili zao zinahitaji kutikiswa..... Of course, kuna matajiri kama Sabodo ambao akili zao sio 'shake well'.
 
Kibaya zaidi na wewe umezaliwa ndani ya kipindi hicho

nimekua nikijiuliza hawa wanaowapa kura hawa ccm kama wana akili timimamu,coz watu wametuongoza kwa miaka 50 nchi imetapakaa umaskini mpaka kwenye kucha,mahospitali hakuna dawa wala madaktari wa kutosha,miundombinu hakuna,kila kitu hovyo nakuuliza wewe uliyewapa hawa kura umetupeleka wapi?
 
Back
Top Bottom