BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
yaani hapa nimenuna kweli kwelì!
Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!
Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa tunatenganishwa na barabara maana nyumba zetu zinatizamana lakini toka jumatatu hadi ijumaa ikifika saa saba usiku yeye ndo anarudi,weekend mwendo wa saa tisa au kumi!
Tatizo kwa mziki wake lazima niamke. Na huchukua takriban dakika 2-5 kumfungulia geti.
Yaani ndo mateso nipatayo. Nimeamka usingizi umekata! Sijafanikiwa kuongea nae maana daily simpati,labda nimvizie usiku wa manane.
Mnikopeshe usingizi jamani
Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!
Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa tunatenganishwa na barabara maana nyumba zetu zinatizamana lakini toka jumatatu hadi ijumaa ikifika saa saba usiku yeye ndo anarudi,weekend mwendo wa saa tisa au kumi!
Tatizo kwa mziki wake lazima niamke. Na huchukua takriban dakika 2-5 kumfungulia geti.
Yaani ndo mateso nipatayo. Nimeamka usingizi umekata! Sijafanikiwa kuongea nae maana daily simpati,labda nimvizie usiku wa manane.
Mnikopeshe usingizi jamani