jirani yangu huyu

BADILI TABIA

JF-Expert Member
Jun 13, 2011
32,772
23,160
yaani hapa nimenuna kweli kwelì!

Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!

Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa tunatenganishwa na barabara maana nyumba zetu zinatizamana lakini toka jumatatu hadi ijumaa ikifika saa saba usiku yeye ndo anarudi,weekend mwendo wa saa tisa au kumi!

Tatizo kwa mziki wake lazima niamke. Na huchukua takriban dakika 2-5 kumfungulia geti.

Yaani ndo mateso nipatayo. Nimeamka usingizi umekata! Sijafanikiwa kuongea nae maana daily simpati,labda nimvizie usiku wa manane.

Mnikopeshe usingizi jamani
 
yaani hapa nimenuna kweli kwelì!

Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!

Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa tunatenganishwa na barabara maana nyumba zetu zinatizamana lakini toka jumatatu hadi ijumaa ikifika saa saba usiku yeye ndo anarudi,weekend mwendo wa saa tisa au kumi!

Tatizo kwa mziki wake lazima niamke. Na huchukua takriban dakika 2-5 kumfungulia geti.

Yaani ndo mateso nipatayo. Nimeamka usingizi umekata! Sijafanikiwa kuongea nae maana daily simpati,labda nimvizie usiku wa manane.

Mnikopeshe usingizi jamani

kareport hiyo abuse kwa mjumbe wenu ili apigwe ban ya kufungulia mziki usiku ni hayo tu maushauri ya haraka..
 
yaani hapa nimenuna kweli kwelì!

Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi!

Na usingizi wangu umekata!
Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye gari yake? Au ana matatizo ya kusikia? Anafungulia mziki mnene mpaka roho inadunda. Ingawa tunatenganishwa na barabara maana nyumba zetu zinatizamana lakini toka jumatatu hadi ijumaa ikifika saa saba usiku yeye ndo anarudi,weekend mwendo wa saa tisa au kumi!

Tatizo kwa mziki wake lazima niamke. Na huchukua takriban dakika 2-5 kumfungulia geti.

Yaani ndo mateso nipatayo. Nimeamka usingizi umekata! Sijafanikiwa kuongea nae maana daily simpati,labda nimvizie usiku wa manane.

Mnikopeshe usingizi jamani

Ha ha haaaaa!!! Kwa nini uteseke mkuu?? Hujui kuwa nimefungua duka la usingizi hapo mitaa ya Kariakoo??? Usisubiri hadi macho yaning'inie. Njoo ujipatie usingizi kwa bei nafuu kabisa sawa na bure. "Akwambiaye usikombe mboga, ujue anatala ushibe.
 
HAhhaaaa kilo moja ya usingizi bei gani?


Ha ha haaaaa!!! Kwa nini uteseke mkuu?? Hujui kuwa nimefungua duka la usingizi hapo mitaa ya Kariakoo??? Usisubiri hadi macho yaning'inie. Njoo ujipatie usingizi kwa bei nafuu kabisa sawa na bure. "Akwambiaye usikombe mboga, ujue anatala ushibe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom