hbi
JF-Expert Member
- Feb 6, 2011
- 678
- 297
Watu wengi wamekua wakitaka kutumia official emails lakini wamekua hawajui ni namna gani wanaweza kuzipata. Suluhisho limewadia, kwanini uendelee kutumia jinaLako@yahoo.com , jinaLako@gmaill.com, jinaLako@hotmail.com wakati unaweza kutumia jinaLako@jinaLaBiasharaYako.com, jinaLako@jinaLaKampuniYako.com, pia waweza ata kutumia jinaLako@jinaLaUkooWako.com na nyingine nyingi utakazohitaji kwa gharama nafuu kabisa ya TSH 40,000 tu kwa mwaka mzima Hauitaji software au hardware yoyote yaziada, pia unaweza kuzitumia ata kwa kutumia simu za mkononi, tablet na kadhalika. Waweza kuwasiliana nasi kwa simu no 0717363950 au email info@5computerstz.com