jipatie maujanja kuwa computer hacker

koo

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
258
67
Jamani habarini
Ninatamani kuwa hacker na mtaalam wa computer lakini nilichelewa kuamua nisome nini nikajikuta nimeelekea kwingine nataka kujua kama nitaweza kujifunza hadi kuwa hacker nakama inawezekana nifanyeje nipeni mbinu
 
Wewe hufai kufundishwa computer kwa kuwa utakuwa ''Pirate''Usiharibu taaluma za watu.Endelea na ulichosomea na acha tamaa za ujanani!Hacking is illegal,na hakuna chuo kinachokufundisha eti uwe hacker!
 
Kwa msaada ni kwamba, HAKUNA sehemu yoyote utakayofundishwa kuwa hacker. Hacking ni kama wizi. Hamna sehemu utakayofundishwa wizi isipokuwa unafundishwa kulinda na ukishajua kulinda ndio utajua ni sehemu zipi ambazo ukiacha wazi wezi watapita.

Kutafuta sehemu iliyo wazi au kutumia ujanja kuiba japokuwa kuna ulizi ndio kama Hacking sasa. You first have to know how to defend before you can attack.
 
Jamani habarini
Ninatamani kuwa hacker na mtaalam wa computer lakini nilichelewa kuamua nisome nini nikajikuta nimeelekea kwingine nataka kujua kama nitaweza kujifunza hadi kuwa hacker nakama inawezekana nifanyeje nipeni mbinu


Usituaribie taaluma yetu mi ningekupa mwangaza kama ungepost inapenda kujua programming but siwezi kutoa comment za kukupa mwangaza mharifu,mm nasoma master now ya computer science but najua ww ni mharifu kabla hata hujajua computer,ushauri kasome kozi zingine kama nia ni kuiba nenda kawe mwanasiasa huko ukipata nafasi iba utakavyo huku utatuchafulia taaluma zetu.Hakuna chuo duniani kinafundisha uhacker au crackers wengi wanaacha ethics na kujiingiza kwenye uhalifu kama huo unaoutamani.
 
Acha chenga,kichwa cha habari kingine alafu unaandika mengine,njoo kwangu nikufundishe hyo hacking
 
Mi nimekimbilia nikafikiri ni maujanja umetuletea kumbe umekuja kulia shida nyamba...Badilisha title yako
 
Jamani habarini
Ninatamani kuwa hacker na mtaalam wa computer lakini nilichelewa kuamua nisome nini nikajikuta nimeelekea kwingine nataka kujua kama nitaweza kujifunza hadi kuwa hacker nakama inawezekana nifanyeje nipeni mbinu

halafu ukishajua na ukiwa hacker utafanya je>???????
utatumia vipi hiyo elimu ikupatie japo kipato????????
mi nadhani wewe ukasomee tu namna ya ku instal programz na jinsi ya kuitumia ile ya TALLY
 
wengi hawajui maana ya hacker/hacking wanakimbilia kuporomosha maneno ya kejeli. Hacking ni muhimu sana ktk maisha ya mwanadamu, bila hacking hakuna maendeleo. Kwanza tafuta kitabu kinaitwa Hackers underground handbook. Hujachelewa, umewahi sana kutaka kujifunza. Halafu nakushauri ujifunze programming languages kama java, python, c, c+, perl, php etc. Kuna links ni pm takupatia siwezi kuweka hapa.

hackers we run the world !
 
Wewe hufai kufundishwa computer kwa kuwa utakuwa ''Pirate''Usiharibu taaluma za watu.Endelea na ulichosomea na acha tamaa za ujanani!Hacking is illegal,na hakuna chuo kinachokufundisha eti uwe hacker!

duh! Kaka umemchana vilivyo! Hawa ndo wez! Kila kitu wanataka.
 
Jamani habarini
Ninatamani kuwa hacker na mtaalam wa computer lakini nilichelewa kuamua nisome nini nikajikuta nimeelekea kwingine nataka kujua kama nitaweza kujifunza hadi kuwa hacker nakama inawezekana nifanyeje nipeni mbinu
Unataka kujifunza wizi?
Anza kuiba sasa!
Humu humu JF kuna mbinu nyingi tu za hacking Computers na hata simu na modems!
Ni wewe tu kuchangamka
 
The Wannabee Hacker's Library

einstein_tongue.jpg
"Imagination is more important than knowledge. Knowledge is limited.
Imagination encircles the world" - Albert Einstein
This "Library" is a collection of links to documents, web pages and web sites that I have found useful when studying different aspects of ICT, or helpful to get myself out of a mess I got myself into. Trial and Error is a study strategy, too.
Some of these documents are from the evening classes where I studied IT. They are in Duch.
Some of the web pages I've written myself, as web authoring exercises, or as home work for school, or to make a summary on a certain topic, or just as a means to organize my thoughts. Some I've written just for fun.
Table of Contents


  1. Library
    1. Applications : manufacturer support sites
    2. Computing - in general
    3. Databases and SQL
    4. Networks and Data Communication
    5. Programming
    6. Operating Systems
    7. System Administration
    8. Web and HTML
    9. What The Hack ?!
  2. howto
    1. Linux Hands-On Projects - learn Linux by using it : a collection of Linux Mini-Howto's
    2. playing with X Windows : a Linux Kiosk system ?
    3. Automatic System Administration : Windows Commands and Scripts
    4. unattended preconfigured software setup (Windows)
    5. automatic software deployment (Windows)
    6. Command line FTP - FTP scripts for DOS and Linux
    7. Emergency Anti-Virus diskettes
    8. Data Destruction - how to securily wipe hard disks and other media when decommissioning old computers
    9. Connecting a local network to the internet
    10. Internet and TCP/IP network on a DOS computer - including a small tutorial about TCP/IP.
    11. Hacking Exposed - introduction
    12. Multi Boot Primer
    13. Bootable Media - Creating and modifying bootable CD's
    14. the definitive Quickstart Beginners Guide to Nagios in 24 hours for Dummies.
  3. reading
    1. "Hacking"
    2. How to become a Hacker
    3. "Open Source" and "Free Software"
  4. Download Center
  5. The not so typical Disclaimer
  6. 2743 lessons - Table of Contents
ZoomButt.gif
 
  • Thanks
Reactions: koo
The Wannabee Hacker's Library

einstein_tongue.jpg

"Imagination is more important than knowledge. Knowledge is limited.
Imagination encircles the world" - Albert Einstein
This "Library" is a collection of links to documents, web pages and web sites that I have found useful when studying different aspects of ICT, or helpful to get myself out of a mess I got myself into. Trial and Error is a study strategy, too.
Some of these documents are from the evening classes where I studied IT. They are in Duch.
Some of the web pages I've written myself, as web authoring exercises, or as home work for school, or to make a summary on a certain topic, or just as a means to organize my thoughts. Some I've written just for fun.
Table of Contents


  1. Library
    1. Applications : manufacturer support sites
    2. Computing - in general
    3. Databases and SQL
    4. Networks and Data Communication
    5. Programming
    6. Operating Systems
    7. System Administration
    8. Web and HTML
    9. What The Hack ?!
  2. howto
    1. Linux Hands-On Projects - learn Linux by using it : a collection of Linux Mini-Howto's
    2. playing with X Windows : a Linux Kiosk system ?
    3. Automatic System Administration : Windows Commands and Scripts
    4. unattended preconfigured software setup (Windows)
    5. automatic software deployment (Windows)
    6. Command line FTP - FTP scripts for DOS and Linux
    7. Emergency Anti-Virus diskettes
    8. Data Destruction - how to securily wipe hard disks and other media when decommissioning old computers
    9. Connecting a local network to the internet
    10. Internet and TCP/IP network on a DOS computer - including a small tutorial about TCP/IP.
    11. Hacking Exposed - introduction
    12. Multi Boot Primer
    13. Bootable Media - Creating and modifying bootable CD's
    14. the definitive Quickstart Beginners Guide to Nagios in 24 hours for Dummies.
  3. reading
    1. "Hacking"
    2. How to become a Hacker
    3. "Open Source" and "Free Software"
  4. Download Center
  5. The not so typical Disclaimer
  6. 2743 lessons - Table of Contents
ZoomButt.gif

Nashukuru nimepata pakuanzia asante pia kwawalio ona sifai kujua lakini kama nitafanikiwa sikumoja nitakua msaada kama sio kwao hata kwawatoto wao ficha ujinga usifiche taaluma
 
Jamani habarini
Ninatamani kuwa hacker na mtaalam wa computer lakini nilichelewa kuamua nisome nini nikajikuta nimeelekea kwingine nataka kujua kama nitaweza kujifunza hadi kuwa hacker nakama inawezekana nifanyeje nipeni mbinu

whats up koo ingia google u search HACKER'S UNDERGROUND HANDBOOK kama wakikwambia ulipie ni pm nikuattachie humu mi nnacho
 
wengi hawajui maana ya hacker/hacking wanakimbilia kuporomosha maneno ya kejeli. Hacking ni muhimu sana ktk maisha ya mwanadamu, bila hacking hakuna maendeleo. Kwanza tafuta kitabu kinaitwa Hackers underground handbook. Hujachelewa, umewahi sana kutaka kujifunza. Halafu nakushauri ujifunze programming languages kama java, python, c, c+, perl, php etc. Kuna links ni pm takupatia siwezi kuweka hapa.

hackers we run the world !

Wewe ni mwizi,na subiri sheria za ICT ziboreshwe,tutawaingiza Segerea mpaka mnyooke!
 
Back
Top Bottom