St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,645
- 11,153
Mkuu unahitaji kurudi shule, msomi hawezi kuandika hivyo labda uwe mwehu wa ccm basi upo sawa.Something is better than nothing, hata tukinunua za kubebea maembe huko Ulaya ni bora kuliko aibu ya kuwa na mindege ya kukodi with -VE profit. Go go JPM, tuokoe na aibu ya kukalia kusifia vya wenzetu vyetu vikitufia