jinsia za ajabu

Mkali Tozz

JF-Expert Member
Aug 9, 2012
278
80
Maana wamekuwa wakinichanganya kutokana na category na sifa zao kibaoloji kama ifuatavyo
( i) kunawengine wana matiti na uume tuu, hawana uke.
(ii) kuna wengine wana uume na uke na matiti kwa pamoja.
(iii) kuna wengine wana uke na matiti ila hawana haiba ya kike kabisa, hawana feelings za kuingiliwa.(jikedume)
(iv)kuna wanawake ila wana ndevu, mustachi, misuli, sauti nzito na wanapenda kamapania za wanaume
(v)kuna wanaume ila wana sauti nyembamba, makalio makubwa na matiti makubwa na wanapenda kampani za wanawake.

Ningependa kufahamu maisha yao, asili yao , uwezo wao wa tendo la ndoa na behaviour zao kwenye mahusiano, Je wanauwezo wa kumpa/kupewa mimba? Nguvu zao kimaumbile (reproductive organs) zinafanya kazi kama kawaida?

Ningeomba msaada wa mchanganuo wa viumbe hawa na mahusiano ya kwenye mambo ya LOVE & SE
 
Usidanganyike hizo ni Cosmetics surgery zinazofanywa kwenye nchi za dunia ya iliyoendelea, hao madokta wanaofanya kazi hizo wanalipwa bei mbaya.
 
Maana wamekuwa wakinichanganya kutokana na category na sifa zao kibaoloji kama ifuatavyo
( i) kunawengine wana matiti na uume tuu, hawana uke.
(ii) kuna wengine wana uume na uke na matiti kwa pamoja.
(iii) kuna wengine wana uke na matiti ila hawana haiba ya kike kabisa, hawana feelings za kuingiliwa.(jikedume)
(iv)kuna wanawake ila wana ndevu, mustachi, misuli, sauti nzito na wanapenda kamapania za wanaume
(v)kuna wanaume ila wana sauti nyembamba, makalio makubwa na matiti makubwa na wanapenda kampani za wanawake.

Ningependa kufahamu maisha yao, asili yao , uwezo wao wa tendo la ndoa na behaviour zao kwenye mahusiano, Je wanauwezo wa kumpa/kupewa mimba? Nguvu zao kimaumbile (reproductive organs) zinafanya kazi kama kawaida?

Ningeomba msaada wa mchanganuo wa viumbe hawa na mahusiano ya kwenye mambo ya LOVE & SE

yeah, its a kind of transgender issue. Unamkumbuka Semenya wa Africa kusini ktk michezo ya Olympiki?
 
Maana wamekuwa wakinichanganya kutokana na category na sifa zao kibaoloji kama ifuatavyo
( i) kunawengine wana matiti na uume tuu, hawana uke. hormone imbalance
(ii) kuna wengine wana uume na uke na matiti kwa pamoja. genetic disorder
(iii) kuna wengine wana uke na matiti ila hawana haiba ya kike kabisa, hawana feelings za kuingiliwa.(jikedume) some lesbiansa and future F2M transexuals
(iv)kuna wanawake ila wana ndevu, mustachi, misuli, sauti nzito na wanapenda kamapania za wanaume hormonal imbalance
(v)kuna wanaume ila wana sauti nyembamba, makalio makubwa na matiti makubwa na wanapenda kampani za wanawake. hormonal imbalance

Ningependa kufahamu maisha yao, asili yao , uwezo wao wa tendo la ndoa na behaviour zao kwenye mahusiano, Je wanauwezo wa kumpa/kupewa mimba? Nguvu zao kimaumbile (reproductive organs) zinafanya kazi kama kawaida?

Ningeomba msaada wa mchanganuo wa viumbe hawa na mahusiano ya kwenye mambo ya LOVE & SE
relationship varies, most are treatable and lead normal lives
 
Usidanganyike hizo ni Cosmetics surgery zinazofanywa kwenye nchi za dunia ya iliyoendelea, hao madokta wanaofanya kazi hizo wanalipwa bei mbaya.

mbona huko Africa watu wa jinsia mbili wako wengi (source-Madaktari)
 
Kinachomfanya mtu kuwa mwanamke ama mwanaume ni reproductive organs, period! Hayo mengine kama hormones na shape (makalio na manyonyo) ni majaaliwa. Hormones zinaweza kuathirika na kuwa manipulated to normal levels.
Na reproductive system sio ya nje, ni ile ya ndani. Kama vagina na penis vinaweza kutengenezwa kwa surgery, lakini uterus na epidydimis hazitengenezeki nadhani (sina hakika na success story yoyote).

Mwisho wa siku sie wenye tunyonyo kama amblyoma (kupe wa kienyeji) na flat screen kwa nyuma msije mkatukatalia kuwa sio wanawake, tafadhali sana!
 
kama ana 2.Atakuwa na uwezo wa ku bleed (MC), Uume wake unasifa kama za kwetu (erect/ejaculate)?

Hakuna mwenye uume na uke, google hutapata hiko kitu, ila kuna shemale, amamwonekano wa kike kila kitu tena mzuri ile mbaya ila unakuta ana uume alafu kuna wanawake wachache itakuta pale kwenye kisimi (kiarage) kinakuwa kama uume kidogo, wala haiwi wazi eti uume hapa na uke kule na mara nyingi iko kiuume utakiona kimaumbile ila hakina uwezo, google you tube videos utaona
 
Mungu aliumba mtu mke na mtu mume period!...hakuna jinsia nyingine bali wanadamu ama wanajihalalishia au ni matatizo ya kibaiolojia
 
Kinachomfanya mtu kuwa mwanamke ama mwanaume ni reproductive organs, period! Hayo mengine kama hormones na shape (makalio na manyonyo) ni majaaliwa. Hormones zinaweza kuathirika na kuwa manipulated to normal levels.
Na reproductive system sio ya nje, ni ile ya ndani. Kama vagina na penis vinaweza kutengenezwa kwa surgery, lakini uterus na epidydimis hazitengenezeki nadhani (sina hakika na success story yoyote).

Mwisho wa siku sie wenye tunyonyo kama amblyoma (kupe wa kienyeji) na flat screen kwa nyuma msije mkatukatalia kuwa sio wanawake, tafadhali sana!

Hapo kwenye red! Je kwa hawa wenye jinsia mbili kwa pamoja UKE na UUME.wanakuwa kundi gani?
 
Nimeuliza tuu kuongeza ufahamu, mimi niko kawaida (i am perfectly normal). Je na wewe uko kundi lipi?

Hiyo niliyokuwekea nyekundu ni kundi lipi katika uliyoyataja? sijaliona katika makundi yako.

Mimi nna uume mmoja, makalio mawili, chuchu mbili, makalio madogo mawili, vichwa viwili; kimoja kiko juu ya shingo iliyobebwa na mabega ambacho kina macho mawili, masikio mawili, midomo miwili, pua moja na kichwa kingine kipo kwenye uume ambacho kina mdomo mmoja wa kutolea mkojo na ute wenye mbegu za uzazi.
 
Hiyo niliyokuwekea nyekundu ni kundi lipi katika uliyoyataja? sijaliona katika makundi yako.

Mimi nna uume mmoja, makalio mawili, chuchu mbili, makalio madogo mawili, vichwa viwili; kimoja kiko juu ya shingo iliyobebwa na mabega ambacho kina macho mawili, masikio mawili, midomo miwili, pua moja na kichwa kingine kipo kwenye uume ambacho kina mdomo mmoja wa kutolea mkojo na ute wenye mbegu za uzazi.

Hahaha! Mbona kama sifa zako zote ulizozitaja zipo hapo juu! zisome tena unipatie roman number ya group lako.
Mimi sipo hapo kwenye hayo magroup, ningekuwepo hapo nisingeuliza, tunaulizaga vile tusivyovijua tuu?
 

Hakuna mwenye uume na uke, google hutapata hiko kitu, ila kuna shemale, amamwonekano wa kike kila kitu tena mzuri ile mbaya ila unakuta ana uume alafu kuna wanawake wachache itakuta pale kwenye kisimi (kiarage) kinakuwa kama uume kidogo, wala haiwi wazi eti uume hapa na uke kule na mara nyingi iko kiuume utakiona kimaumbile ila hakina uwezo, google you tube videos utaona

Asilimia kubwa ya shemales ni wale ambao wamefanyiwa cosmetic surgery na kupewa hormonal injections. Hao wenye jinsia mbili wapo (nimeona live)ispokuwa as u said hzo organs mara nyingi haziperform kazi inayotarajiwa.
 
Asilimia kubwa ya shemales ni wale ambao wamefanyiwa cosmetic surgery na kupewa hormonal injections. Hao wenye jinsia mbili wapo (nimeona live)ispokuwa as u said hzo organs mara nyingi haziperform kazi inayotarajiwa.

kwenye red .Kwahiyo wataoa au kuolewa? au watakuwa chronic single!
 
Hapo kwenye red! Je kwa hawa wenye jinsia mbili kwa pamoja UKE na UUME.wanakuwa kundi gani?

Ile morphology ya ndani ndio inachunguzwa kitaalamu na kuamua kama wana jinsia gani. Ultrasound itahusika hapo. Corrective surgery hufanywa kuondoa ile ambayo sio functioning. Sikumbuki kusoma case ambayo labda ana uterus na korodani. And usually jinsia ya kiume inafanya kazi ama haifanyi, hiyo huwa indicator ya kwanza. Ila punguza kuangalia porn, mara nyingi ni exaggerations.
 
kwenye red .Kwahiyo wataoa au kuolewa? au watakuwa chronic single!

Kwa kuwa ndoa inaandamana na matarajio(km sex na kuzaa) sio rahisi kwa wao kuzaa. Nitaku-PM picha ili uone hayo maumbile yanavokuwa.So kama ni ndoa itabidi iwe ya ''kimkataba zaidi'' maana kama mwanaume ana matarajio ya watoto hapo hatapata, kama anataraji sex hatapata coz mwanamke hana maumbile timilifu kwa ajili ya hilo. Japo anakuwa na matiti(according to the case i saw) na feelings as any other girl.
 
Back
Top Bottom