Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Be serious this must be a problem!
Maswali Kama haya yakirushwa kwenye tv za bongo lazima ifungiwe
Usijeukawa unafanyia kwenye kitovu!. Huwa unatumia mihadarati kabla ya gemu?
1) Hiyo hutokea kwa mwanamke mmoja katika kila wanawake 3000. Wengi huficha kusema kwa kuwa haziwapi shida yoyote.
2) Anaweza tengeneza fedha za haraka akiingia kwenye kazi ya "pornography".
Soma zaidi:
Two vaginas? British woman Hazel Jones discusses having uterus didelphys - HealthPop - CBS News
Born With Two Vaginas: Not So Rare - ABC News
Hazel Jones: Woman with 2 vaginas rejects $1m pornography offer | Mail Online
Nitafute tukatengeneze fedha majuu. Ni fedha nyingi tu, akizitumia vizuri, umaskini bye bye!
Ziko hivi..moja iko juu kdg yaani tofauti na maumbile ya kike ya kawaida na nyengine iko kwa chini yake.na zote ziko freash moto ule ule (nilikesha nazo)
Ambatanisha picha tukupe ushauri ulio wakweli kuliko hapa tushahuri kwa kuhisia!!Maana kama umeamua kumumwaga hapa sokoni nidhahiri huyo siyo mpenzi wako iweje mpenzi wako umtolee siri zake zandani hapa gulioni??wewe akili huna!!
jitahidi uweke picha kaka, hii itasaidia kupata mawazo mazuri toka kwa wachangiaji
anaogopa atagongewa kama doctor akiwa mwanaume.anzia kwa gyno yeyote.
Kama uko Dar Prof Mgaya pale Maria Clinic karibu na mataa ya St Peter.
Kama uko Mwanza mtafute Dk. kilonzo pale bugando.
Hata ukienda hospitali kubwa kama ya mkoa au wilaya ukauliza daktari wa akina mama unampata.
huyu ana matatizo huyu au hangover yaani aweke picha ya hizo roda mbili hayuko makini huyu.PICHA ILI IWEJE?...mbona katoa maelezo yanayoeleweka,kuwa moja iko Juu kidogo ya mwenzie.. .katika eneo lilelile la kusini ya kati!