Magamba yamefunga Minyororo Kila Sehemu tunashindwa pa Kutokea Dawa Kuu ni kuyandoa hata kwa njia hii Then Tuendelee na Maisha yetu Mazuri na nikuambue kitu hii ni Siri yako wewe tu Ukifanikisha kuyaondoa Magamba nchi yetu itakuwa nzuri Sana kuliko maelezo nchi isio na mafisadi au hata kama yatakuwepo basi yatakuwa hayana pa kuiba... no Dhurma na Kuzuia Waovu sababu Kesi ipo mahakamani na mahakama zenyewe kesi zinachukua Miaka nenda Rudi Tizama Mramba na Yona hadi leo Wanapeta Uraiani tu na wengine wengi we acha tu Tuyaondoe Magamba
Serikali hii inafanana na Watu wabaya wote waliwahi tokea katika Ulimwengu huu...
Hii list unaweza kuwafitisha watu waliomo katika Serikali hii na wakafiti fresh:-
Mumuani
Dracula
Wezi
Mafisadi
Waonevu
Chifu Mangungu
Hitler
Bokasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.