Jinsi ya kuwa Tajiri

Siri ya utajiri ni ubahiri(li).
Hakikisha kidogo ukipatacho kinakuwa saved, punguza matumizi yasiyo ya ulazima kama kunywa pombe, kuchangia sana mambo yasiyo ya msingi yanayopelekea kupoteza pesa kama vikao vya harusi mbalimbali, party nyingi za marafiki kama birthdays.
Tafuta biashara ndogo ya ziada ya kuanzia kukuza pesa yako, fanya utafiti wa mahali unakoishi kuna opportunity gani ya biashara.
Well, utajiri kama wasemavyo wengi kama Warren Buffet ni kwamba,
''save more than you can spend'' ama
''spend what is left after saving''.

Thanx very much nitayaweka maneno yako kwenye vitendo
 
Siri ya utajiri ni ubahiri(li).
Hakikisha kidogo ukipatacho kinakuwa saved, punguza matumizi yasiyo ya ulazima kama kunywa pombe, kuchangia sana mambo yasiyo ya msingi yanayopelekea kupoteza pesa kama vikao vya harusi mbalimbali, party nyingi za marafiki kama birthdays.
Tafuta biashara ndogo ya ziada ya kuanzia kukuza pesa yako, fanya utafiti wa mahali unakoishi kuna opportunity gani ya biashara.
Well, utajiri kama wasemavyo wengi kama Warren Buffet ni kwamba,
''save more than you can spend'' ama
''spend what is left after saving''.

Nyinyi ndio mnatakiwa JF...ubarikiwe aisee..ushauri mzuri sana
 
Jifunze sana kuwa mtu wa 'kuaminika'
hiyo ndo easiest way ya kuwa tajiri

watu hupeleka pesa zao kwa watu 'wanaoaminika'
 
Jamani kama kichwa kinavyojieleza,nauchukia sana umaskini,siupendi umaskini,nimefanya kazi sana za kuajiriwa na huu ni mwaka wa kumi lakini sitajiriki nifanyeje?

Jambo la kwanza ni kukamata fulsa iliyopo.

NENDA KASOME VITABU
 
Siri ya utajiri ni ubahiri(li).
Hakikisha kidogo ukipatacho kinakuwa saved, punguza matumizi yasiyo ya ulazima kama kunywa pombe, kuchangia sana mambo yasiyo ya msingi yanayopelekea kupoteza pesa kama vikao vya harusi mbalimbali, party nyingi za marafiki kama birthdays.
Tafuta biashara ndogo ya ziada ya kuanzia kukuza pesa yako, fanya utafiti wa mahali unakoishi kuna opportunity gani ya biashara.
Well, utajiri kama wasemavyo wengi kama Warren Buffet ni kwamba,
''save more than you can spend'' ama
''spend what is left after saving''.

Mkiwa watu 10 jf km wewe tungekuwa mbali sana asante kwa mawazo mazuri hata mimi yatanisaidia
 
Siri ya utajiri ni ubahiri(li).
Hakikisha kidogo ukipatacho kinakuwa saved, punguza matumizi yasiyo ya ulazima kama kunywa pombe, kuchangia sana mambo yasiyo ya msingi yanayopelekea kupoteza pesa kama vikao vya harusi mbalimbali, party nyingi za marafiki kama birthdays.
Tafuta biashara ndogo ya ziada ya kuanzia kukuza pesa yako, fanya utafiti wa mahali unakoishi kuna opportunity gani ya biashara.
Well, utajiri kama wasemavyo wengi kama Warren Buffet ni kwamba,
''save more than you can spend'' ama
''spend what is left after saving''.


No I know saving can never make someone rich rather you could advice him to invest...
I bet investing will make him rich than saving dude....
 
No I know saving can never make someone rich rather you could advice him to invest...
I bet investing will make him reach than saving dude....

Nice arguement dude!

But look here, this dude has nothing to gain, rather, we advice him, at what he accumulates, better to save first before looking at chances to invest.

Investments needs a lot of calculations, its not simple like pushing a drunkard, like Africans say!

Well, ni ushauri tu nimetoa, aanze kwa kuweka kwanza, kuwekeza kuje baada ya mtaji kupatikana!
 
Nyinyi ndio mnatakiwa JF...ubarikiwe aisee..ushauri mzuri sana

Rule of thumb


  • If you'll use the money in under five years, save.
  • If you'll use the money more than ten years in the future, invest.
  • If you'll use the money in between five and ten years, then consider your attitude to different risks, your investment goal and financial situation. In this situation, it may be suitable that you do a bit of both saving and investing.

"copied somewhere"
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom