SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
- Thread starter
- #21
Yeah nakijua mkuu..unaunga hata monitor 100 ila mtumiaji ni mmoja na zote zina display kitu kimoja hapa ni tofauti mkuu!! sijui kama unaelewa kinachozungumziwa mkuu. hapa kila monitor ina fanya program zake na kwa muda wake
kuna kifaa kimoja kinaitwa matrox ambacho kina dvi na analogy hicho unaweza kuunganisha monitor hata kumi na zaidi