Jinsi ya kutumia Windows na Ubuntu kwa pamoja

geek

Member
Feb 12, 2009
83
4
Kwa wale wanaopenda kuwa na operating system mbili kwenye kompyuta moja, unaweza kurun Windows na Ubuntu. Ubuntu ni open source, kwa hiyo hulipi kitu na pia haina matatizo ya virus.

Soma hapa ni rahisi kinoma
 
A better way to do this is to install Ubuntu and Windows differently on two different partitions. The above way installs Ubuntu from Windows, inherently passing some of the undesirables (instabilities, security issues etc) of Windows.

Of course if one is not very comfortable with installing from CD and partitioning, then the linked explanation may prove to be the next best thing.

They say there is nothing Windows 7 can do that Ubuntu 9.04 cannot, I havent had the time to check out Windows 7, any testers with a comparison?
 
i have been using window 7 evaluation version since May at the same time i have been using Ubuntu 9.04, I agree there is nothing new on window 7 that ubuntu can not do. but if you are coming from Vista or XP, you will find window 7 a bit juicier.
 
Kwa wale wanaopenda kuwa na operating system mbili kwenye kompyuta moja, unaweza kurun Windows na Ubuntu. Ubuntu ni open source, kwa hiyo hulipi kitu na pia haina matatizo ya virus.

Soma hapa ni rahisi kinoma

Ningeomba kama kuna Mtu anayejuwa Operating System mbili kwenye kompyuta moja, Windows na Mac Anifahamishe nitumie Software ipi Ku Download Windows XP ndani ya Computer Mac? ninayo hiyo computer Mac nataka kuweka Windows XP nifanyeje? ili iweze kufanya kazi hiyo Windows XP? asanteni ndugu wana JF .
 
HEY,LINUX IS EVERYTHING,LOTS CAN DO IN LINUX THAN WINDOW 7,SAY WINDOW 7 IS CLARITY AND BEAUTIFUL...HEY U WANT TO NO ABOUT MAC AND WINDOW,plse contact me erwinsizingak@yahoo.co.in, i think i can help u
 
Kwa wale wanaopenda kuwa na operating system mbili kwenye kompyuta moja, unaweza kurun Windows na Ubuntu. Ubuntu ni open source, kwa hiyo hulipi kitu na pia haina matatizo ya virus.

Soma hapa ni rahisi kinoma
Mkuu geek Nimei Download UBUNTU pamoja na WINDOWS XP inafanya kazi vizuri lakini hiyo UBUNTU nimeiweka kwenye HARD DISK yake lakini siipati Sauti sasa naomba Mkuu geek na Wana JF mnisaidie jamani namna ya kuipata sauti ndani ya UBUNTU nitashukuru Asanteni sana
 
HEY,LINUX IS EVERYTHING,LOTS CAN DO IN LINUX THAN WINDOW 7,SAY WINDOW 7 IS CLARITY AND BEAUTIFUL...HEY U WANT TO NO ABOUT MAC AND WINDOW,plse contact me erwinsizingak@yahoo.co.in, i think i can help u

Win 7 might be new and all,BUT there is a lot one can do with it than with LINUX.the fact being support for developers,while Microsoft has one of the most talented and diverse developers team.

Microsoft having 90% market share enjoys the support of majority of vendors/software developers who supports their OS as well.

LINUX might be a little ground where Security enthusiast play.but its no way an alternative to Microsoft.

We use LINUX because it is safer/less exposed and very customizable.

BUT to enterprises,people with special needs like DJ's and professional music directors and video editors,can not rely to LINUX due to its lack of drivers and enough developers who are willing to put quality applications for LINUX.
 
Wakuu asanteni kwa mada nzuri hii, mi nimeweka hivi karibuni UBUNTU ktk laptop yangu lakini kwa kweli bado yanchanganya sana, mfano machine nyingi zinatumia word, excel, access, or powerpoint sasa huku kuna kitu ingine tofauti kiasi yachanganya kidogo na ukiamishia ktk mashine zingine zisizo na ubuntu ni noma,

Kuhusu MAC na windows, kuna wataalamu wanaoweza kubadili OS ya PC na kuweka MAC OS, tafadhali naomba tuwasiliane yeyote mwenye utaalamu huo kwani nataka badili mashine zangu ziwe na MAC.
 
Wakuu asanteni kwa mada nzuri hii, mi nimeweka hivi karibuni UBUNTU ktk laptop yangu lakini kwa kweli bado yanchanganya sana, mfano machine nyingi zinatumia word, excel, access, or powerpoint sasa huku kuna kitu ingine tofauti kiasi yachanganya kidogo na ukiamishia ktk mashine zingine zisizo na ubuntu ni noma,

Kuhusu MAC na windows, kuna wataalamu wanaoweza kubadili OS ya PC na kuweka MAC OS, tafadhali naomba tuwasiliane yeyote mwenye utaalamu huo kwani nataka badili mashine zangu ziwe na MAC.

Hiyo kitu ingine tofauti inaitwaje?

I am not sure if you are referring to openoffice. Openoffice can do almost everything Microsoft Office can do, including creating .doc, .xls and.ppt files that can be opened by Microsoft Office

Check out OpenOffice at www.openoffice.org .On top of more featurs than Microsoft Office, it is also free.

Kuhusu ku run Windows kwenye Mac hardware (if that is the question) as far as I know huwezi kwa sababu chip/ hardware za Mac ni tofauti na za PC. Ila ninachojua ni kwamba Mac Leopald inaweza kuwa installed on PC hardware.Nilishawahi kuinstall Mac on PC hardware kama test, ikafanya kazi vizuri.
 
Wakuu asanteni kwa mada nzuri hii, mi nimeweka hivi karibuni UBUNTU ktk laptop yangu lakini kwa kweli bado yanchanganya sana, mfano machine nyingi zinatumia word, excel, access, or powerpoint sasa huku kuna kitu ingine tofauti kiasi yachanganya kidogo na ukiamishia ktk mashine zingine zisizo na ubuntu ni noma,

Kuhusu MAC na windows, kuna wataalamu wanaoweza kubadili OS ya PC na kuweka MAC OS, tafadhali naomba tuwasiliane yeyote mwenye utaalamu huo kwani nataka badili mashine zangu ziwe na MAC.

Hilo hapo halitawezekana.Mac OS ni software iliyokuwa embeded kwenye kompyuta za MAC.kutenganisha MAC na kuiweka kwenye Kompyuta nyingine(dell,HP etc) ambayo haijatengenezwa na kampuni ya APPLE ni kosa la kisheria.

LAKINI,inawezekana.unachohitaji ni hacking skills na na hao wataalamu.Lakini unahatarisha PC yako.unaweza haribu BIOS.

MAC is basically linux/UNIX so take your time to learn UNIX then you will enjoy linux more.

otherwise nunua tu MACBOOKS,au iMACS.
 
Hilo hapo halitawezekana.Mac OS ni software iliyokuwa embeded kwenye kompyuta za MAC.kutenganisha MAC na kuiweka kwenye Kompyuta nyingine(dell,HP etc) ambayo haijatengenezwa na kampuni ya APPLE ni kosa la kisheria.

LAKINI,inawezekana.unachohitaji ni hacking skills na na hao wataalamu.Lakini unahatarisha PC yako.unaweza haribu BIOS.

MAC is basically linux/UNIX so take your time to learn UNIX then you will enjoy linux more.

otherwise nunua tu MACBOOKS,au iMACS.

Kama nilivyosema juu, Mac Leopard OS unaweza kuinstall kwenye PC.

Ona hapa na hapa
 
Kama nilivyosema juu, Mac Leopard OS unaweza kuinstall kwenye PC.

Ona hapa na hapa

Totally agree with you!
That is very true,tried it 2 years ago in a dell machine,all went fine except that there was some very deep issues in the Leopard kernel,that rendered the real world application of the hacking accomplishment very hard and painful.drivers..,software updates etc


Mac is in its core Linux so it can be installed in a PC but only for hacking uses not real life application.

is there anyone who is using the thing now?is it useful?!please share with us.

cheers!
 
Mkuu geek Nimei Download UBUNTU pamoja na WINDOWS XP inafanya kazi vizuri lakini hiyo UBUNTU nimeiweka kwenye HARD DISK yake lakini siipati Sauti sasa naomba Mkuu geek na Wana JF mnisaidie jamani namna ya kuipata sauti ndani ya UBUNTU nitashukuru Asanteni sana


Hapo nadhani ni tatizo la driver ya audio. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni ku-update drivers moja kwa moja kutoka kwenye Ubuntu.

Bonyeza System>Administration>Hardware Drivers

Halafu system itafanya automatic search ya drivers, ikizipata itakupa prompts za ku-install. Baada ya hapo natarajia kila kitu kitafanya kazi kama kawaida.
 
Hapo nadhani ni tatizo la driver ya audio. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni ku-update drivers moja kwa moja kutoka kwenye Ubuntu.

Bonyeza System>Administration>Hardware Drivers

Halafu system itafanya automatic search ya drivers, ikizipata itakupa prompts za ku-install. Baada ya hapo natarajia kila kitu kitafanya kazi kama kawaida.

Asante Mkuu Geek nitafanya kama ulivyoniambia
 
duh, ni vyema!! kwanini lakini mtu utumie OS mbili wakati wewe unatumia computer kwa mahitaji ya kawaida sana tu?
 
Kama nilivyosema juu, Mac Leopard OS unaweza kuinstall kwenye PC.

Ona hapa na hapa

Installing Mac OS X Leopard On A PC In Three Easy Steps

by Scott Beale on October 27, 2007 · 21 comments


Within 24 hours of the release of Mac OS X Leopard, dailyApps has posted a tutorial on how to install Leopard on a PC (aka HackinTosh) in three easy steps using a patched DVD image based on information posted to the OSx86 Scene forums.
Well its been only a day since the Mac OSX Leopard was released officially by Apple and the hackers have managed to create a patched DVD that everyone like you and me can use to install Leopard on PC’s without having to buy a Mac. Please note the tutorial that I am going to post is still experimental and things might not work the right way simply because it is still early days in hacking Leopard to work on PC’s. Well if you don’t mind your PC getting screwed then go ahead and try out this tutorial.
UPDATE 1: Eric points out that dailyApps is currently down due to the massive traffic their Leopard hack post is generating. While you are waiting for it to come back up, why not enjoy the latest Laugh-Out-Loud Cats by Ape Lad.


UPDATE 2: Joe let us know that Coral Cache has cached the blog post.
screenshot by mac.nub
Install Snow Leopard on PC [using USB]

Tuesday, November 03rd, 2009 | Author: Taranfx
4071117547_77c325e60f_o.jpg
We had been into Mac OS X Installation on PC for a long time now. We ‘ve produced Three flawless guides, though complexity may have varied.​

With all your generous support, we are now able to produce the Easiest Guide to Install Snow Leopard on PC.
Before We Start:

  • You need Supported hardware.
  • 8GB or Higher USB drive.
  • Snow Leopard Install DVD ($29 upgrade disk works) or an equivalent downloaded ISO.
  • Another Mac to prepare your thumb drive. You can also do this over a Hackintosh PC.
  • The EP45UD3P Snow Leopard install package: [ame="http://www.zshare.net/download/678900076d1471e0/"]Download[/ame]. This Automates all CommandLine work.
Step 1: Prepairing USB
First, we’re going to format usb thumb drive, later copy the Snow Leopard DVD image to the thumb drive.

TapQwH4llBw.jpg

Watch the video in HD and fullscreen to get clearer look at the process.
After you restore the Snow Leopard install DVD to your thumb drive, all you’ve got to do is Run the EP45UD3P Snow Leopard.pkg file (download link above), select your thumb drive, and, let the installer will take care of all the work.
Step 2. Configuring BIOS:

You’ve got to make some small adjustments to your BIOS.


  • Boot Priority: Enable USB Boot, and set USB thumb drive the highest priority for Boot.
  • AHCI Mode: SATA RAID/AHCI Mode should be set to AHCI
  • ACPI Power mode: Set it to S3(STR).
If you have trouble finding these settings, refer to the images below (click to enlarge) credits to Adam Pash.


Step 3: Installation

Now comes the easy part.
Restart PC, Make sure your prepared thumb drive is plugged into your PC. :
2SXVsyeKSvs_01.jpg

As shown in the Video: Boot into the Snow Leopard installer, format the hard drive you want to install Snow Leopard to (go to Utilities -> Disk Utility, then click on the drive, select 1 Partition, Mac OS X Journaled, give it a name, and make sure GUID Partition Table is set in the Options. After you Apply the new partition, go back to the installer and install like normal to that drive. When you reboot after the install completes, press the arrow keys at the graphical boot menu and select the drive you just installed Snow Leopard to.
Step 4. Minor Tweaks (optional but good to have)
You should have everything working by now. But here are few additional, optional steps to enhance your Experience:
1. Get Sound Fully working:
Sound isn’t entirely working yet. You may notice that sound actually does work in some instances, but not all. All you should actually need to do is open up the Sound preference pane in System Preferences (/Applications/System Preferences), click the Output tab, and change the output device to Built-in Line output (I haven’t tested with digital out, but it should work fine in theory).

2. Boot into Snow Leopard without USB Thumb Drive
Right now, your Hackintosh needs USB to boot. To boot from internal harddisk, install the custom bootloader to your hard drive. Unzip EP45UD3P Snow Leopard.pkg zip file that you downloaded initially, run it and select the hard drive you’ve installed Snow Leopard to. Once the installer completes, you’ll no longer need your thumb drive plugged in to boot into Snow Leopard.
3863417964_2f8de2981b_b_d.jpg


Bingo! You installed Snow Leopard on PC by the Easiest Way!
Liked the Guide? Subscribe to us via Twitter updates, or RSS, join Facebook fanpage for more Snow Leopard, iPhone Guide, Tricks, News.
Update: You can upgrade to OS X 10.6.1 without any issues.


Suggested Reading:


Tags: Guide, howto, leopard, MAC OS X, snow leopard
Category: Guide


You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can leave a response, or trackback from your own site.

http://www.taranfx.com/blog/install-snow-leopard-on-pc-easy
 
duh, ni vyema!! kwanini lakini mtu utumie OS mbili wakati wewe unatumia computer kwa mahitaji ya kawaida sana tu?


kuna sababu nyingi, lakini kwa mtizamo wangu baadhi ni hizi:-

ubuntu kama operating system ni bure, open source software. hulipii senti moja.

fast, reliable and almost virus free ukilinganisha na windows ya microsoft.

inakuwezesha ku-install free software nyingi za open source bila kuhofia gharama au kutumia pirated software ambazo zinaweza kukufikisha pabaya - katika nchi zenye kufuata sheria.

kwetu sisi watukutu wa kompyuta it's just a great experience to switch platforms kulingana na task unayotaka ku-perform. trying out new technologies isn't a bad thing.
 
Hapo nadhani ni tatizo la driver ya audio. Kwa hiyo unachotakiwa kufanya ni ku-update drivers moja kwa moja kutoka kwenye Ubuntu.

Bonyeza System>Administration>Hardware Drivers

Halafu system itafanya automatic search ya drivers, ikizipata itakupa prompts za ku-install. Baada ya hapo natarajia kila kitu kitafanya kazi kama kawaida.



Mkuu Geek nimebonyeza hapa System>Administration>Hardware Drivers Kwenye Ubuntu Linux OS nika install zote Drivers nilipomaliza ikafanya kazi sauti lakini nilipo funga nikafunguwa iku ya pili yake yaani leo hii sauti imekimbia tena sasa nifanyeje kuirudisha Sauti tena kwenye hii OS Ubuntu Linux ? naomba msaada wako na kwenye windows Xp Pro inafanya kazi sauti kama kawaida ila kwenye hii Ubuntu Linux Os bado imegoma tena unajuwa tena mimi bado ni mgeni kwa hiyo Os Ubuntu Linux naomba msaada wenu Wana JF wenzangu Asanteni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom