mahemba sr.
Member
- Dec 11, 2015
- 50
- 6
Hahaaa!wapo wengine misimamo mpaka hapo hujafanya kitu broda.
kugusa watu mabega wengine waume zao wako nyuma wanakuona
unadundwa bure.....lol
kwote huko kwa nini mi najipakaga dawa flani hivi, nikikugusa tu umekwisha,....kuhangaika staki
nakupa TANO! well said..haya sio mambo ya kukariri kama formula jamani.....!!hapo ni maujanja ya mtu binafsi.....
hizi hapa hatua muhimu kabisa za kumtomgoza mwanadada ndani ya dakika chache tu atakuwa amekubali.
Mwanamke huwa navutiwa sana na mwanaume ambaye ni mkorofi kiasi fulani.
1. Hakikisha mara ya kwanza kabisa unamgusa labda kwenye bega au sehemu ambayo si ya kumdhalilisha.
2. Hapo utakua umeanzisha mazungumzo na huyo mwanadada.
3. Usimwambie ninaomba namba ya simu bali mpe simu yako na umwambie aandike namba yake kwenye simu yako.
4. Mkaribishe sehemu ya pembeni ili muweze kuongea.
5. Mguse begani mwambie amependeza sana. (msifie)
Hapo changanya na za kwako