Jinsi ya kutongoza

Khaa!! Kutoka kwenye kamusi ya kiswahili, Kutongoza maana yake ni kutumia lugha ya kilaghai kutoa ahadi za uongo kwa lengo kupewa kitu fulani. Usiwadhalilishe wanawake bana :mvutaji:
 
hizi hapa hatua muhimu kabisa za kumtomgoza mwanadada ndani ya dakika chache tu atakuwa amekubali.
Mwanamke huwa navutiwa sana na mwanaume ambaye ni mkorofi kiasi fulani.
1. Hakikisha mara ya kwanza kabisa unamgusa labda kwenye bega au sehemu ambayo si ya kumdhalilisha.
2. Hapo utakua umeanzisha mazungumzo na huyo mwanadada.
3. Usimwambie ninaomba namba ya simu bali mpe simu yako na umwambie aandike namba yake kwenye simu yako.
4. Mkaribishe sehemu ya pembeni ili muweze kuongea.
5. Mguse begani mwambie amependeza sana. (msifie)
Hapo changanya na za kwako

ndiyo yau jazayo moyo wako mkuu? Angalia siku si nyingi utaliwa palau. Wajanja wa iyo michezo wameshaliwa pilau ndugu.
 
bora tungekua kuku tu ukijiskia tu unawakilishaaaa Fastaa haina haja ya sjui mshike bega sjui mpe simu SHIT!
 
Hakuna haja ya mtongozo siku hzi kuna buku mbili moja wakati mwingine anakukopesha pesa unaleta cku nyingine
 
unatongoza kulingana na mwanamke alivo, njia za kumtongoza mwanamke kanisani ni tofauti na zile za kumtongoza aliye bar, kwa iyo huwezi kukariri jinsi ya kutongoza
 
Back
Top Bottom