Mmmh... Mi naamini kila mtu ana namna yake ya kutongoza... Hakuna formula ya kutongoza bana...!
Wewe mwanamuke umeorewa au maraya? Hii ni ya kikurya. The truth is hakuna formular.
kama uko Dar nenda Corner Bar watajitongozesha wenyewe.
ha ha ha. so funylazima usahau kutongoza maana watu kama nyie ni wazee wa mipira iliyokufa. Mnawavizia walevi tuu akishalewa unajiokotea kiulainiiiiiiiiiii!
kwi kwi kwi kwi yaan nimecheka mpaka basi yan
Wewe mwanamuke umeorewa au maraya? Hii ni ya kikurya. The truth is hakuna formular. Sana sana siku hizi ukichelewa kutongoza mwanamke anakutongoza laivu.
Wewe mwanamuke umeorewa au maraya? Hii ni ya kikurya. The truth is hakuna formular. Sana sana siku hizi ukichelewa kutongoza mwanamke anakutongoza laivu.
mmh! wanakuja wataalamu, mi sijatongozwa bali nilitongoza teh
Mmmh... Mi naamini kila mtu ana namna yake ya kutongoza... Hakuna formula ya kutongoza bana...!
Wewe kwa viwango vya wadada wa mujini GAME LAKO LIPO CHINI SANAAAAA! Maybe unatongoza watoto wa kitaaa sio WADADA WA MUJINI! Mimi hapo huningoi hataaaa!
Sasa ngoja nikupe muongozo wa kumngoa mdada yeyote wa mujini bila presha!
1. Usimpe namba kwa kuitaja ili aiandike, Noooo! Mpe business card ili ajiridhishe bila shaka lolote mambo yote kuanzia title, jiofisi unalofanyia, na details zingine.
2. Business card iambatane na mwekundu au hata 2 au 3 for voucher! Ukisisitiza hutaki kumtia gharama ya kukutafuta.
3. Sehemu ya mazungumzo mwache aitaje yeye, alafu propose mahali babkubwaaa zaidi ajione kwako yeye badooo sanaaa!
4.Mkikutana usimtafute tenaa! Mskilizie tu umuone.
5. Akikutafuta ujue umewini jumla jumla na no mizinguo tena!!!
ANGALIZO
Hizi mbinu kwa wasio oa tu! We una mke jichanganye kuipa details nyumba ndogo, mkigombana unamkuta ofisini mapokezi anakungoja!!! LOLEST!!!!!!!!!!!!