Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.

Masharti ni haya.
  1. Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
  2. Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
  3. Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
  4. Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
  5. Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.

Paskali
Mungu akubariki
 
kwanza kabisa ni kupongeze Ndugu mleta mada.

Pili niwatoe wasi wasi wale ndugu wote wenye uoga na jambo hili.

Mimi nitalifafanua ki Mungu zaidi na dhani hata ndugu mleta mada amegusi japo wachangiaji wengi wamejikita kwenye mambo yasiyo na msingi yaani ya kidunia na kutumia vibaya jambo hili.

Niukweli usiopingika kwamba kila mwanadamu aliwekewa na Mwenyezi Mungu kitu kinaitw Ulimwengu wa Roho.

Japo watu wengi hawajui na kuacha watu wanao mwabudu shetani wakitawala katika ulimwengu wa Roho na kufanya mambo yao mabaya.

Naomba hapa niisemee Imani yangu ya Kristo.

Kwa wale wasomaji wa bblia watakumbuka Yesu Mwenyewe Alisema.

" wahabuduo Alisi Imewapasa Kumwabudu Mungu katika Roho. Maana Mungu uwatafuta watu hao wamwabudu katika Roho " yoh 4:22-24

kwa Maneno haya ya Yesu Kristo ni kwamba alikuwa anautambulisha Ulimwengu wa Roho ili kila mwamini anatakiwa Au ishi akiwa katika mwili huu wa damu na nyama.

Kwa wasoma bibla watakumbuka kwenye kitabu cha ufunuo Ndugu yohana aliondoka katika mwili, akiwa katika kisima cha patmo nakuonyeshwa mambo ya jayo ile ilikuwa ni hii kitu kama watu hawajui mfahamu.

Ndiyo maana hata mtoa mada amewaasa kwamba mkiitumi katika kumkaribia Mungu mtapata faida kubwa sana.

Nimalizie kwa kusema mkizingatia katika kumkaribia Mungu na kutafuta kujua mapenzi yake mtapata faida kuliko hasara mtazopata mkitumia vibaya katika mambo yasiyo mtukuza Mungu.

Maana Mungu hakumleta Binadamu duniani ili ateseka ndiyo maana mtume Paulo amesema kwenye 1 wakorinto 2:8-14

" mtu wa Rohoni Uyatambua Yote wala yeye hatambuliwi na Mtu "

ikiwa unataka kuyajua mema ambayo Mungu amekuandalia na jinsi utakavyo yapata basi tumia vizuri Eneo hili kumkaribia Mungu.
 
kwa mfano mimi nasumbuliwa na ugonjwa mda mrefu je, nikifanikiwa kufanya hii AP inanisaidia katika uponyaji?...mtaalam ufafanuzi tafadhali
 
View attachment 421487
Uzi Huu Pia Nitaendelea kuupdate kila baada ya siku zisizopungua kumi!
Natamani ningeweza ningewafundisha na wale waliopo jela ili wajue kuwa wao hawakuletwa duniani kuteseka pia, na somo hili lingepunguza madhara mengi sana duniani
sote ni viumbe wa mungu inaniuma sana kuna ambao wanajiona kama wameletwa duniani kuwa mfano wa wengine au watumishi wa wengine japo tupo wachache humu tanzania lets help each other to find all of us at the sweet place where our face & heart will be full of light and happiness

There comes a time when we heed a certain call
When the world must come together as one
There are people dying
And it's time to lend a hand to life
The greatest gift of all

We can't go on pretending day by day
That someone, somewhere will soon make a change
We all are a part of God's great big family
And the truth, you know,
Love is all we need

[Chorus:]
We are the world, we are the children
We are the ones who make a brighter day
So let's start giving
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day
Just you and me

Send them your heart so they'll know that someone cares
And their lives will be stronger and free
As God has shown us by turning stone to bread
So we all must lend a helping hand

[Chorus]

When you're down and out, there seems no hope at all
But if you just believe there's no way we can fall
Well...well...well
Let's realize that a change can only come
When we stand together as one......................................
chorus

Rakims
Umeanza vizuri mwisho wasiku unatuwekea wimbo daaah wew ni noma
 
kwa mfano mimi nasumbuliwa na ugonjwa mda mrefu je, nikifanikiwa kufanya hii AP inanisaidia katika uponyaji?...mtaalam ufafanuzi tafadhali
Ndio tena vizuri mno inategemea ww unataka upone kwa kutumia nini? Mwanga, Giza Au Wewe?

Rakims
 
Ndio tena vizuri mno inategemea ww unataka upone kwa kutumia nini? Mwanga, Giza Au Wewe?

Rakims
Rakims nimejaribu sana Ap japo nivuke hata hatua ya kwanza ila imeshindikana nipoconstrat kwenye pumzi najikuta kama mate yamejaa mdomoni inanilazimu kuyameza kumbe hayapo hapo ndo nakuwa nimepoteza point.
 
Rakims nimejaribu sana Ap japo nivuke hata hatua ya kwanza ila imeshindikana nipoconstrat kwenye pumzi najikuta kama mate yamejaa mdomoni inanilazimu kuyameza kumbe hayapo hapo ndo nakuwa nimepoteza point.
Yap, hata mimi hunitokea hiyo isikusumbue sawa kwa maana haihitaji haraka wala sio ushindani hivyo unatakiwa utulize presha na ujiwekee kutoka taratibu kama hutaki vile kila kitu kinakua sawa,
 
Back
Top Bottom