Mungu akubarikiMkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.
Masharti ni haya.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.
- Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
- Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
- Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
- Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
- Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Paskali
Umeanza vizuri mwisho wasiku unatuwekea wimbo daaah wew ni nomaView attachment 421487
Uzi Huu Pia Nitaendelea kuupdate kila baada ya siku zisizopungua kumi!
Natamani ningeweza ningewafundisha na wale waliopo jela ili wajue kuwa wao hawakuletwa duniani kuteseka pia, na somo hili lingepunguza madhara mengi sana duniani
sote ni viumbe wa mungu inaniuma sana kuna ambao wanajiona kama wameletwa duniani kuwa mfano wa wengine au watumishi wa wengine japo tupo wachache humu tanzania lets help each other to find all of us at the sweet place where our face & heart will be full of light and happiness
There comes a time when we heed a certain call
When the world must come together as one
There are people dying
And it's time to lend a hand to life
The greatest gift of all
We can't go on pretending day by day
That someone, somewhere will soon make a change
We all are a part of God's great big family
And the truth, you know,
Love is all we need
[Chorus:]
We are the world, we are the children
We are the ones who make a brighter day
So let's start giving
There's a choice we're making
We're saving our own lives
It's true we'll make a better day
Just you and me
Send them your heart so they'll know that someone cares
And their lives will be stronger and free
As God has shown us by turning stone to bread
So we all must lend a helping hand
[Chorus]
When you're down and out, there seems no hope at all
But if you just believe there's no way we can fall
Well...well...well
Let's realize that a change can only come
When we stand together as one......................................
chorus
Rakims
Ndio tena vizuri mno inategemea ww unataka upone kwa kutumia nini? Mwanga, Giza Au Wewe?kwa mfano mimi nasumbuliwa na ugonjwa mda mrefu je, nikifanikiwa kufanya hii AP inanisaidia katika uponyaji?...mtaalam ufafanuzi tafadhali
Rakims nimejaribu sana Ap japo nivuke hata hatua ya kwanza ila imeshindikana nipoconstrat kwenye pumzi najikuta kama mate yamejaa mdomoni inanilazimu kuyameza kumbe hayapo hapo ndo nakuwa nimepoteza point.Ndio tena vizuri mno inategemea ww unataka upone kwa kutumia nini? Mwanga, Giza Au Wewe?
Rakims
duh sawa kaka ila one day nataman nijueVituo vinavyofundisha deepest states of meditation tanzania sivijui kiasi fulani tupo tunajifunza kwenye group yangu ila nafasi zimejaa...
Rakims
Yap, hata mimi hunitokea hiyo isikusumbue sawa kwa maana haihitaji haraka wala sio ushindani hivyo unatakiwa utulize presha na ujiwekee kutoka taratibu kama hutaki vile kila kitu kinakua sawa,Rakims nimejaribu sana Ap japo nivuke hata hatua ya kwanza ila imeshindikana nipoconstrat kwenye pumzi najikuta kama mate yamejaa mdomoni inanilazimu kuyameza kumbe hayapo hapo ndo nakuwa nimepoteza point.
mkuu VIPI mbona kmya
How mkuuukitaka kuamini fanya halafu uishie pale kwenye ganzi ndio utaamini u can o cant
"Rakims"