Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Je, ni madhara yapi humtokea mtu atakayefanya mapenzi na Spirits nyingine?

Na hizo spirits ni zipi? Ni malaika, watu waliokufa au ni mashetani?

Kwa Wewe Tuyaite Mashetani kufanya madhara na spirit tofauti na binaadamu kuna madhara ambayo utayapata sawa na kuzini na jini mahaba mikosi nuksi n.k lakini kwanini utoke astral kuzini wakati kuna mengi ya kitukufu na ya faida ya kujifunza zaidi ya huo uchafu?

"Rakims"
 
SWALI JINGINE...

Samahani kama ntakuwa nimekuingilia katika maisha yako..
Lakini mimi binafsi nimevutiwa sana na ufaham wako juu ya mambo mengi unayoyajua, na ninatamani namimi niwe angalau kama wewe Rakims...

Je, hizi elimu wewe umejifunzia wapi?
Na ilikuchukua muda gani mpaka ukazifaham?
Je, ni mtu gani aliku'motivate mpaka ukaamua kujifunza?
Na Kwakunisaidia mimi ambaye nahitaji kujifunza, Unanishauri nifanye nini ili angalau niweze kufikia level yako?
Ahsante

binafsi huwezi kunifikia hilo ni moja pili wakati najifunza hili ilikuwa haiitwi meditation wala astral projection wala lucid wala higher self nilifundishwa kwa ujumla yote yalikuwa kwenye kitu kimoja kinaitwa "You Are More Than You Think Who You Are" ni sentensi lakini ndio niliambiwa ndio jina la somo Nilijifunza Mengi Kupitia Humo Na Niliambiwa The Main KEY Is Believe God And Belief In Yourself That You Can Do It... Astral Projection Nilikuwa Siifahamu Kwa Jina Hilo Bali Nilikuwa Nikifahamu ni "Process Ya Kuseparate A Body Na Higher self meditation sikuitambua kwa jina la meditation niliitambua kama "Magic Of Subconscious Mind/Brain Powers" Nimekuja Kujua Jina Meditation ni kitu ambacho nilijifunza kwa jina tofauti baada ya kukutana na nduki na kuzijua some spirit ambazo nilikuwa sijazisoma thank you too nduki Jamii Forum.. Nilijifunza Muda lakini sio kama jina meditation i have a lot of ways to do this but a few to teach.. pia huwezi kunifikia maana nimeanza muda sana kusoma na kujifunza hii..... itakuchukua muda hadi ufikie hatua ya kujua ipi ya kufuata ipi ya kuacha maana zingine zimekaa kiimani waweza soma budhism ukaona haviendani na imani yako you need a real guide to follow the right path la sivyo imani yako itapungua....


"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
binafsi huwezi kunifikia hilo ni moja pili wakati najifunza hili ilikuwa haiitwi meditation wala astral projection wala lucid wala higher self nilifundishwa kwa ujumla yote yalikuwa kwenye kitu kimoja kinaitwa "You Are More Than You Think Who You Are" ni sentensi lakini ndio niliambiwa ndio jina la somo Nilijifunza Mengi Kupitia Humo Na Niliambiwa The Main KEY Is Believe God And Belief In Yourself That You Can Do It... Astral Projection Nilikuwa Siifahamu Kwa Jina Hilo Bali Nilikuwa Nikifahamu ni "Process Ya Kuseparate A Body Na Higher self meditation sikuitambua kwa jina la meditation niliitambua kama "Magic Of Subconscious Mind/Brain Powers" Nimekuja Kujua Jina Meditation ni kitu ambacho nilijifunza kwa jina tofauti baada ya kukutana na nduki na kuzijua some spirit ambazo nilikuwa sijazisoma thank you too nduki Jamii Forum.. Nilijifunza Muda lakini sio kama jina meditation i have a lot of ways to do this but a few to teach.. pia huwezi kunifikia maana nimeanza muda sana kusoma na kujifunza hii..... itakuchukua muda hadi ufikie hatua ya kujua ipi ya kufuata ipi ya kuacha maana zingine zimekaa kiimani waweza soma budhism ukaona haviendani na imani yako you need a real guide to follow the right path la sivyo imani yako itapungua....


"Rakims"

ahsante sana Rakims.,
lakini vp ile ya kusikia mawazo ya watu wengine.., unafanyaje mpaka kuiweza hyo stage, au kuwa na uwezo huo?
 
Last edited by a moderator:
ahsante sana Rakims.,
lakini vp ile ya kusikia mawazo ya watu wengine.., unafanyaje mpaka kuiweza hyo stage, au kuwa na uwezo huo?

hiyo mpaka ufanye meditation ya psychic abilities ndio utaanza kupiga hatua ya kufika huko...

"Rakims"
 
Haya Umefika Muda Wa Kurudi Darasani Chap Chap PM namba Yako Nikuingize Whatsapp Group Ya Meditation...


"Rakims"
 
Nimejaribu kwa muda kufuatia hizi mada bado sijaelewa na zinaonyesha ni za kuogofya kaka yangu Rakims ningependa kujua yafuatayo niwie radhi lakini.
1>ni imani gani ya kidini unatakiwa kuwa nayo na pia kiimani kitu kama hiki kinaruhusiwa mfano imani ya kikristo?
2>mimi ni mkristo na katika mafundisho mbalimbali niliwai kusikia sala ya kukaa kimya, na huko kukaa kimya walio wahi wameshuhudia mungu akiongea nao, sasa hii kukaa kimya tuliofundishwa ina husiana na mada yako hii?
3>tukiachana na habari dini inatakiwa niwe na elimu yoyote kwa maana mi nimeishia la saba?
4>na kama ndio nimefanikiwa kutoka nje ya mwili nikiwa kwenye mwili huo mwingine kumbukumbu za kule nyuma zanakuwepo? Kama vile niliachwa na mpenzi au nilifiwa na baba na mama ua sina uchumi mzuri au nadaiwa au kuna mtu nampenda. Na pia nina upweke sana maishani mwangu hii inaweza kunisaidia kuondoa upweke? Na pia nikiwa huko kwenye mwili huo naweza kupata marafiki wa jamii hio? Kila la heri?
 
Last edited by a moderator:
Nimejaribu kwa muda kufuatia hizi mada bado sijaelewa na zinaonyesha ni za kuogofya kaka yangu Rakims ningependa kujua yafuatayo niwie radhi lakini.
1>ni imani gani ya kidini unatakiwa kuwa nayo na pia kiimani kitu kama hiki kinaruhusiwa mfano imani ya kikristo?
2>mimi ni mkristo na katika mafundisho mbalimbali niliwai kusikia sala ya kukaa kimya, na huko kukaa kimya walio wahi wameshuhudia mungu akiongea nao, sasa hii kukaa kimya tuliofundishwa ina husiana na mada yako hii?
3>tukiachana na habari dini inatakiwa niwe na elimu yoyote kwa maana mi nimeishia la saba?
4>na kama ndio nimefanikiwa kutoka nje ya mwili nikiwa kwenye mwili huo mwingine kumbukumbu za kule nyuma zanakuwepo? Kama vile niliachwa na mpenzi au nilifiwa na baba na mama ua sina uchumi mzuri au nadaiwa au kuna mtu nampenda. Na pia nina upweke sana maishani mwangu hii inaweza kunisaidia kuondoa upweke? Na pia nikiwa huko kwenye mwili huo naweza kupata marafiki wa jamii hio? Kila la heri?

Ahsante Kwa Maswali Hii Habagui Dini Ni Sawa Na Mtu Anaefanya Mazoezi Ya Mwili Kusema Ili Mwili Uwe Fit Basi Unatakiwa Uwe Na Imani Fulani Hapana..

Hao Wanaosema Wameongea Na Mungu Ni Waongo Hata Kama Wameongea Na Nafsi Zao Wakaimagine Kuwa Ni Mungu Hawaposahihi Mazoezi Haya Hayabagui Imani Ila Ukiyaweka Kiimani Yanakwenda Kiimani Na Pia ukiwa nje ya mwili ni wewe yule yule utajijua isipokuwa kigeni hapo ni kutoka tu nje ya mwili..

cha mwisho kuhusu kuovercome matatizo basi katika kubwa ya lengo la watu na faida ya haya mazoezi ni kuondosha dhiki za moyo zikiwemo ulizozitaja... utakumbuka na kufikiria kama kawaida lakini sio kama kwa kukufuru kwamba mungu hajakufanyia fail hapana.. itakujenga kuona kuwa wewe ni zaidi na unastahiri kuwa na faraja na furaha katika maisha yako.....
mwisho nikukumbushe ya kwamba mwenyezi mungu hakuleta mtu duniani kuja kuteseka bali kumuamini na kumuabudu....

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Rakims hapo una maana gani kusema Mungu hajakuumba ili uteseke......mbona watu weng wanateseka sana....
 
Last edited by a moderator:
Rakims hapo una maana gani kusema Mungu hajakuumba ili uteseke......mbona watu weng wanateseka sana....

kuteseka kwa mtu kunasababishwa na mtu mfano leo hii wewe unazini nje ya ndoa na binti ambaye hana elimu wala uelekeo wa maana anahangaika kupigania maisha wewe unamrubuni rubuni na kumbebesha mimba anajifungua mtoto bila tegemezi wala msaada wowote..

Je, unahisi yule mtoto aliezaliwa alipangiwa na mwenyezi mungu kuwa Haramu?

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hii kitu mi nimefanya na kui-control,kuna raha yake kweli,ila pale kurudi kwenye ulimwengu wa kawaida huwa ni struggle kweli,nahisi kufa kupo kabisa kuweni makini,unaweza ukawa ulimwengu mwingine ukashindwa kurudi huu tunaoishi,huwa nikianza hii ishu mpaka napata kazi kurudi nilipotoka.
 
Ahsante Kwa Maswali Hii Habagui Dini Ni Sawa Na Mtu Anaefanya Mazoezi Ya Mwili Kusema Ili Mwili Uwe Fit Basi Unatakiwa Uwe Na Imani Fulani Hapana..

Hao Wanaosema Wameongea Na Mungu Ni Waongo Hata Kama Wameongea Na Nafsi Zao Wakaimagine Kuwa Ni Mungu Hawaposahihi Mazoezi Haya Hayabagui Imani Ila Ukiyaweka Kiimani Yanakwenda Kiimani Na Pia ukiwa nje ya mwili ni wewe yule yule utajijua isipokuwa kigeni hapo ni kutoka tu nje ya mwili..

cha mwisho kuhusu kuovercome matatizo basi katika kubwa ya lengo la watu na faida ya haya mazoezi ni kuondosha dhiki za moyo zikiwemo ulizozitaja... utakumbuka na kufikiria kama kawaida lakini sio kama kwa kukufuru kwamba mungu hajakufanyia fail hapana.. itakujenga kuona kuwa wewe ni zaidi na unastahiri kuwa na faraja na furaha katika maisha yako.....
mwisho nikukumbushe ya kwamba mwenyezi mungu hakuleta mtu duniani kuja kuteseka bali kumuamini na kumuabudu....

"Rakims"

Nimekuelewa kaka ila nitaendelea kufuatilia kabla ya kujaribu.
 
Rakims
jana nimefanyiwa upasuaji mdogo wa kidole gumba cha mguu,sasa leo wakati nafanya ASTRAL PROJECTION Nilipata maumivu makali ktk kidole hicho,pia nilisikia kama sindano ikinichoma mguu wa kulia.
Nilihisi mapigo ya moyo yakienda kasi.
Na muda wa masaa mawili sasa tangu nimalize zoezi lakini hadi sasa najihisi nipo kwenye zoezi.
Kwa hali hiyo,kuna tatizo hapo ?
 
Last edited by a moderator:
Rakims
jana nimefanyiwa upasuaji mdogo wa kidole gumba cha mguu,sasa leo wakati nafanya ASTRAL PROJECTION Nilipata maumivu makali ktk kidole hicho,pia nilisikia kama sindano ikinichoma mguu wa kulia.
Nilihisi mapigo ya moyo yakienda kasi.
Na muda wa masaa mawili sasa tangu nimalize zoezi lakini hadi sasa najihisi nipo kwenye zoezi.
Kwa hali hiyo,kuna tatizo hapo ?

ukiwa unafanya astral projection awareness kubwa unakuwa nayo mwilini mwako hivyo katika kujitambua zaidi mwili ndio ukakutana na maumivu hayo hapo kilichofanyika ni wewe tu kufocus na kuvutia hisia eneo hilo patapoa tu still bado mapema...


"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom