Jinsi ya kutengeneza website(tovuti) bure ya kiofisi (acha kulipia leo)

mkuu chief, ahsante sana maana sikutaraji uwepo wa watu dizain yako ktk zama hizi hasa hapa bongo. Sasa naweza jaribu ila plz nikikwama mara 2 mara 3 naomba usinchoke
 
Watu wote wenye elimu wangekuwa kama ww,watanzania tungekuwa mbali.uwe mfano wa kuigwa.
 
Mnyalukolo shukrani, mi kuna mshkaji aliniingiza mjini kwenye kutengeneza website, je naweza ku ku inbox
 
asante sana chief mkwawa kwa maelezo yako mazuri.
Ila mm nimedownload hii prog inaitwa ''web page maker v 3.11'' ni inakuwezesha kutengeneza webpage yako bila kujua HTML language.
Ila sasa baada ya kutengeneza hiyo webpage, nashindwa kujua namna ya kui-upload.
1. Naweza kutumia hizo hosting sites ulizotoa kui-upload?
2. Kama nitataka ku-upload iwe kama blog site, je nnafanyaje ili nii-upload alaf iwe na extension kama '' .blogspot.com '' ?
mfano: '' mbishimimi.blogspot.com ''
natanguliza shukrani zangu za dhati!!
 
Chief;

Kama uko DSM nina shida ya kutengeneza Website kama 5. Tuwasiliane kwa PM tafadhali.
 
1. ndio utaweza kutumia hizi hosting file ukishatengeneza account nenda kwenye control panel utaona sehemu imeandikwa import/upload website hapo ndo utahamisha website yako

2.kila free hosting inatoa subdomain na hazifanani ukitaka subdomain ya .blogspot.com lazma ukafungulie kwao mfano free host ya hostinger wao subdomain yao inaitwa 16mb.com so website itaitwa mbishimimi.16mb.com so inategemea na subdomain wanayotoa. na hili utLIJUA MWANZO TU MAANA WATAKWAMBIA UCHAGUE
 
1. ndio utaweza kutumia hizi hosting file ukishatengeneza account nenda kwenye control panel utaona sehemu imeandikwa import/upload website hapo ndo utahamisha website yako

2.kila free hosting inatoa subdomain na hazifanani ukitaka subdomain ya .blogspot.com lazma ukafungulie kwao mfano free host ya hostinger wao subdomain yao inaitwa 16mb.com so website itaitwa mbishimimi.16mb.com so inategemea na subdomain wanayotoa. na hili utLIJUA MWANZO TU MAANA WATAKWAMBIA UCHAGUE

1. Asante sana kwa maelezo yako.samahani, Nakuomba nikuulize swali lingine.
Je, ni extension gani popular na zinazoweza kuwa searched na google ambazo unazipata na hizo hosting website? Mf: .co.cc, .net , .biz ,etc.
Pili, hiyo website utakayotengeneza na hiyo host huweza kudumu kwa muda gani kabla haija-expire?
Narudia kutanguliza shukrani kwa msaada unaotupa!
 
boss ulikua wapi miaka 5 iliyopita? hebu nijuze inakuwaje nikitaka kuweka membership details za memba nazikuta wapi pamoja na record zao
 
boss ulikua wapi miaka 5 iliyopita? hebu nijuze inakuwaje nikitaka kuweka membership details za memba nazikuta wapi pamoja na record zao

Hii ni tutorial ya ya simple website hio yako itabidi mtu aende deep zaidi kwa kutengeneza database ambayo ningeshauri uajiri webmaster maana itahitaji security kubwa tu kuprotect details za member
 
Hii ni tutorial ya ya simple website hio yako itabidi mtu aende deep zaidi kwa kutengeneza database ambayo ningeshauri uajiri webmaster maana itahitaji security kubwa tu kuprotect details za member

Mkuu Samahani,Ningeomba unipe host site kama webs.com lakini chini wasiweke matangazo yao.please!
 
Nitajitahidi niweze tengeneza kama ulivyoelekeza.Asante kwa shule uliyotoa
 
Mimi nina domain iliyosajiliwa na host.je naweza kutumia domain moja host wawili? Au naweza kubadilisha host?
 
Mimi nina domain iliyosajiliwa na host.je naweza kutumia domain moja host wawili? Au naweza kubadilisha host?

kaka kutumia domain moja host wawili haiwezekani sababu domain ndio inapoint data zako zilipo hivyo itapoint vipi host ya kwanza au ya pili?

kuhusu kubadilisha host inawezekana hamisha website yako toka host ya ya kwanza kwenda ya pili then point domain yake kwenye host ya pili. utakua umehamisha website bila kuathiri visitors wako wala data
 
Back
Top Bottom