Smoothie inatengenezwaje?

g4cool

JF-Expert Member
Oct 18, 2012
428
200
Wakuu habari za mchana,

Nadhani tunajua watu wengi sikuhizi wamekuwa wakijali sana afya zao na wamekuwa wakitafuta namna ya kutengeneza au kula zaidi vyakula vya asili kuliko vya kwenye makopo.

Na najua humu ndani watu wengi wana utaaalamu tofauti wa kuandaa vitu hivyo, sasa nilikuwa naomba kama kuna anaeweza kunisaidia kuandaa smoothies za aina mbali mbali, hasa kwa wale wanaotaka kupungua uzito so wazitumie kama mbadala wa chakula hivi.

Nitashukuru
 
Mkuu mi naonaga bi mkubwa akikamata ndizi kuiva, peanut butter, maziwa ya soya,Asali, Vannila na Majani flani hivi..Anaweka kwenye blender..anablendi akitoa hapo inatoka kitu jamii ya milk shake ni kali balaa..
 
Mkuu mi naonaga bi mkubwa akikamata ndizi kuiva, peanut butter, maziwa ya soya,Asali, Vannila na Majani flani hivi..Anaweka kwenye blender..anablendi akitoa hapo inatoka kitu jamii ya milk shake ni kali balaa..
Hainenepeshi kaka? Na hayo majani flani hivi ndio yapi? hahahahhahahahah
 
hainenepeshi kaka? na hayo majani flani hivi ndio yapi? hahahahhahahahah
Mkuu ni vimajani fulani vimbemba vembamba naweza kwenda kumuuliza jina lake Bi mkubwa ila nahofia hayo maswali kwamba ni nani unaenda mwambia.Lol...Hainenepeshi nadhani ukiwa unafanya mazoezi mi mara mingi nainywaga jioni baada ya kutoka gym...Hata msosi wa usiku unaweza usile na unajihisi energetic mbaya...
 
Mkuu ni vimajani fulani vimbemba vembamba naweza kwenda kumuuliza jina lake Bi mkubwa ila nahofia hayo maswali kwamba ni nani unaenda mwambia.Lol...Hainenepeshi nadhani ukiwa unafanya mazoezi mi mara mingi nainywaga jioni baada ya kutoka gym...Hata msosi wa usiku unaweza usile na unajihisi energetic mbaya...
Hahahahaahahaah niulizie mwaya, mwambie naona unayaweka tu kwa milkshake ila sijui yanaitwaje
 
:(:(:(
Smoothie ni juisi tu ila inatengenezwa kwa kutochujwa. Ukiacha matunda, unaongeza asali, ice, maziwa na una blend kwa mara moja! Yapo mengi ila uvivu kuandika
Ahhhhhhhhhhhhhhhh usinifanyie hivyo mkuuu, ukumbuki hapa ndio JF, we share ndugu, embu tupia japo kidogo, tumechoka kunywa juice za viwandani jamani:(:(:(
 
Zipo nyingi sanaaa, kuna green smoothie na smoothie za kawaida,
Green smoothie zinahusisha mboga mboga mfano spinach, sukuma wiki kutegemeana na maeneo ulipo

Na nyinginezo ni pamoja unaweza kutumia mtindi, protini powder ukablend na ndizi au tunda lingine lolote kutokana na jinsi upendavyo.
Ni vizuri ukasafisha mboga mboga na Apple cider vinegar kwa usalama wa afya yako

Vitu muhimu ni kuhakikisha huweki vitu vingi sana, mfano kama umeweka cinamon powder usiweke protini powder, kimoja tu kati ya hivyo kinatosha sana kwa afya na kukupa ladha nzuri pia
 
Mkuu mi naonaga bi mkubwa akikamata ndizi kuiva, peanut butter, maziwa ya soya,Asali, Vannila na Majani flani hivi..Anaweka kwenye blender..anablendi akitoa hapo inatoka kitu jamii ya milk shake ni kali balaa..
Na Ice
 
Wakuu, habari za mchana, nadhani tunajua watu wengi sikuhizi wamekuwa wakijali sana afya zao na wamekuwa wakitafuta namna ya kutengeneza au kula zaidi vyakula vya asili kuliko vya kwenye makopo.
Na najua humu ndani watu wengi wana utaaalamu tofauti wa kuandaa vitu hivyo, sasa nilikuwa naomba kama kuna anaeweza kunisaidia kuandaa smoothies za aina mbali mbali, hasa kwa wale wanaotaka kupungua uzito so wazitumie kama mbadala wa chakula hivi. Ntashukuru

Mkuu mi naonaga bi mkubwa akikamata ndizi kuiva, peanut butter, maziwa ya soya,Asali, Vannila na Majani flani hivi..Anaweka kwenye blender..anablendi akitoa hapo inatoka kitu jamii ya milk shake ni kali balaa..

Mkuu ni vimajani fulani vimbemba vembamba naweza kwenda kumuuliza jina lake Bi mkubwa ila nahofia hayo maswali kwamba ni nani unaenda mwambia.Lol...Hainenepeshi nadhani ukiwa unafanya mazoezi mi mara mingi nainywaga jioni baada ya kutoka gym...Hata msosi wa usiku unaweza usile na unajihisi energetic mbaya...

Smoothie ni juisi tu ila inatengenezwa kwa kutochujwa. Ukiacha matunda, unaongeza asali, ice, maziwa na una blend kwa mara moja! Yapo mengi ila uvivu kuandika

Zipo nyingi sanaaa, kuna green smoothie na smoothie za kawaida,
Green smoothie zinahusisha mboga mboga mfano spinach, sukuma wiki kutegemeana na maeneo ulipo

Na nyinginezo ni pamoja unaweza kutumia mtindi, protini poeder ukablend na ndizi au tunda lingine lolote kutokana na jinsi upendavyo.
Ni vizuri ukasafisha mboga mboga na Apple cider vinegar kwa usalama wa afya yako

Vitu muhimu ni kuhakikisha huweki vitu vingi sana, mfano kama umeweka cinamon powder usiweke protini powder, kimoja tu kati ya hivyo kinatosha sana kwa afya na kukupa ladha nzuri pia

poa poa ahsante sana, kama nitakuwa na maswali nitakuuliza
 
Mi napenda ya tende na maziwa. Unaweka na ndizi kdg na karanga na habbat sauda.

Au parachichi na maziwa na na sukari. Unaweka na arki ya strawberry au vimto.
Maa Salam kwa sasa
 
Mi napenda ya tende na maziwa. Unaweka na ndizi kdg na karanga na habbat sauda.

Au parachichi na maziwa na na sukari. Unaweka na arki ya strawberry au vimto.
Maa Salam kwa sasa
Maziwa yanakuwa fresha au mtindi??
 
Nachojua tu kwepo na Tunda linalotengeneza juice nzito mfano ndizi au parachichi then unamix na utakachopenda
Me napenda ndizi embe au ndizi passion na papai
 
Nachojua tu kwepo na Tunda linalotengeneza juice nzito mfano ndizi au parachichi then unamix na utakachopenda
Me napenda ndizi embe au ndizi passion na papai
Aiseeee we kama unapenda ndizi, chukua tikiti maji changanya na ndizi, parachichi na embe, dah!! Nilitengeneza kitu hicho, ni noma, nzitooooo balaaa, haiitaji sukar wala nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom