Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Yaweza kuwa kweli!!
Guessing from Language and Avatars you are. Strange person indeed.
Only a fool cant see that. May the force be with you always and every where.
A good assignment you have given yourself. To Keep busy you want. Keep it up and dont turn it loose.
kingine topic anazopenda mtu kuchangia!huwezi kukuta mtu kama mtambuzi anachangia "vitopic vya sekondari"!
topic na hata jukwaa pia inatoa picha.
Hebu fanya utambue umri wangu mkuu........Teh teh!Mkuu MC. Uko sahihi sana tu!haha
kingine hulka ya uandishi!mtu mwingine kwa tabia yake ya uandishi unajua kabisa huyu ni wa age gani!mfano mimi leo nikijifanya babu sichukui muda mtanijua tu!lakini for all these years unaona kabisa kuna mababu wa kweli kama babu dc,odm etc!wako consistency kwa hulka yao ya uandishi![/QUOTE
Mkuu Mc.Wewe kigezo chakutambua umri wako itakuwa ni jina pia kwako ni rahisi kuongeza hata kipengele cha tabia.Kwanini?Just being an MC...wohoh!
nimeipenda hii
hahaa!@Kipipi ni kweli bana!
You can not hide ur identity whatever u can pretend, ni sawa na Kongosho anafurahisha baraza kwa kujifanya SHEMALE, lakini hakuna tatizo lolote kwa muelewa wa Mambo kujuwa kwamba Kongosho ni mwanamke with all woman feelings.Napinga hoja, kuna watu huishi maisha ya kimtandao kutokana na yeye anavyopenda kuonekana. Akitaka watu wajue ni mtoto ataact kiutoto na hivyo hivyo kwa kiutu uzima. Kuna wengine ni vijana ila wana akili na busara zaidi ya watu wazima hivyo mabandiko yao yana hekima. Wapo watu wazima hovyo vile vile, posts zao ushuzi mtupu.
Napinga hoja, kuna watu huishi maisha ya kimtandao kutokana na yeye anavyopenda kuonekana. Akitaka watu wajue ni mtoto ataact kiutoto na hivyo hivyo kwa kiutu uzima. Kuna wengine ni vijana ila wana akili na busara zaidi ya watu wazima hivyo mabandiko yao yana hekima. Wapo watu wazima hovyo vile vile, posts zao ushuzi mtupu.
You can not hide ur identity whatever u can pretend, ni sawa na Kongosho anafurahisha baraza kwa kujifanya SHEMALE, lakini hakuna tatizo lolote kwa muelewa wa Mambo kujuwa kwamba Kongosho ni mwanamke with all woman feelings.
Tena basi nikupe kifuta jasho ni kwamba kuna majukwaa humu ambayo hata uwezi kupata shida ya kujuwa umri wa watu hasa MMU.
Umesema kweli Husninyo!! Hasa ukizingatia kuwa, sababu za kuendelea kujulikana 'yeye flani'........ni tofauti kwa kila member! Nimenote kitu kizuri sana kutoka hapa kwako, MAISHA YA KIMTANDAO.......nadhani hii yaweza kutupa picha halisi!
ngoja nisikubishie ingawa nilishakutana na mwanajf, yupo tofauti na avatar yake, tofauti na posts zake na sikutaraji kama umri wake ungekuwa ni huo alionao. Kuna mwingine alikuwa anabehave mwanaume na hakuna aliyemtilia mashaka. Akabadili ID na sahivi anabehave kama mwanamke na hakuna anayemtilia mashaka. Ni ngumu kujua. Tuendelee tu kuguess guess.
Mimi nina 45, je wewe katika makadirio yako kutokana na maandishi yangu ulikadiria kuwa nina miaka mingapi?