Ebu nikadirie na mimi umri wangu mkuu?
Senator mbona rahisi tu.
22-25. Kuwa mkweli na ukanushe.
Ebu nikadirie na mimi umri wangu mkuu?
Umempatia aiseee!haha
Kwa kuwa hauyatumii yale 'madude' yanayotembea kizani, bali unatumia maujanja ya kawaida tu hapo sawa.
Mh!Mama tena na midevu yote hii!Ngoja niondoke!
Mimi nina 45, je wewe katika makadirio yako kutokana na maandishi yangu ulikadiria kuwa nina miaka mingapi?
Mimi nina 45, je wewe katika makadirio yako kutokana na maandishi yangu ulikadiria kuwa nina miaka mingapi?
Kadi gani? Hujui kuwa kilichopo kwenye kadi chaweza kughushiwa?
Katika hilo mama huwa mkweli sana na kadi ya kliniki!haha
Senator mbona rahisi tu.
22-25. Kuwa mkweli na ukanushe.
Mh!Mama tena na midevu yote hii!Ngoja niondoke!
Usiondoke mkuu. Kuna midevu ya ukoo pia kama ilivyo kwa mvi, unene vitambi nk!teheh teheh!
Kwa hiyo Eiyer ndo mama yangu mzazi?
Kwa hiyo Eiyer ndo mama yangu mzazi?
Hahaha hapana mkuu, Eiyer aweza kuwa jirani na kwenu mazungumzo ya ndugu jamaa na marafiki yakamsaidia kukutambua!
Hahahahaa...na kweli.
Chipolopolo inaonekana ndo mama yako!Na hu uzi ndo dedikesheni,teh,teh,teh,teh!
Chipolopolo inaonekana ndo mama yako!Na hu uzi ndo dedikesheni,teh,teh,teh,teh!
Hakuna hicho. Hanijui na anabahatisha tu. Hakuna "anayenijua" humu. That is a guarantee.