Naomba msaada wenu wandugu
kuna mtu kanikosea, mtu mwenywe harekebishiki,
hasira zinanimaliza, hadi nasikia kizunguzungu, nahisi magonjwa yananinyemelea.
Naomba msaada jinsi ya kuweza kutoa hii sumu kwenye damu yangu niendelee na maisha.
mtu mwenyewe namuona kila siku. Ni jamaa wa karibu. Na tumejenga jirani. Hatuwezi kuhama.
sasa nimekuwa mgonjwa najua tiba ni kusamehe ila sijui nitumie utaratibu upi.
pleeease???
kuna mtu kanikosea, mtu mwenywe harekebishiki,
hasira zinanimaliza, hadi nasikia kizunguzungu, nahisi magonjwa yananinyemelea.
Naomba msaada jinsi ya kuweza kutoa hii sumu kwenye damu yangu niendelee na maisha.
mtu mwenyewe namuona kila siku. Ni jamaa wa karibu. Na tumejenga jirani. Hatuwezi kuhama.
sasa nimekuwa mgonjwa najua tiba ni kusamehe ila sijui nitumie utaratibu upi.
pleeease???