Ulifanikiwa?,kama ulikutana na ugumu/ulikwama niulilizeHI wakuu
nimefanikiwa kuserach jina brela nikapata approval ya jina moja ivi...sasa wananiambia nilipe fee ya 50,000 tshs kama ada ya kushikilia jina kwa siku 60..kuna haja ya mimi kufanya hivyo>?or else what should i do next ili kupata certificate yangu
Mkuu,kushikilia jina ndiyo kitu gani..? By the way kama upo Dar kwanini usiende ofsin moja kwa moja ukajihakikishie?HI wakuu
nimefanikiwa kuserach jina brela nikapata approval ya jina moja ivi...sasa wananiambia nilipe fee ya 50,000 tshs kama ada ya kushikilia jina kwa siku 60..kuna haja ya mimi kufanya hivyo>?or else what should i do next ili kupata certificate yangu
Brela ndio wanahusikaWana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
-------------------------------------
HI wakuu
nimefanikiwa kuserach jina brela nikapata approval ya jina moja ivi...sasa wananiambia nilipe fee ya 50,000 tshs kama ada ya kushikilia jina kwa siku 60..kuna haja ya mimi kufanya hivyo>?or else what should i do next ili kupata certificate yangu
Hello Ndugu, Tafuta wanasheria na hasa wenye uzoefu na hizo kazi watakusaidia kukupa mwongozo. Hata ukienda brela huwezi kupata taarifa zote na kwa ufafanuzi maana wana watu wengi wanaowahudumia.Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
-------------------------------------
Nakubaliana nawe, Msitumie vishoka, tumia wanasheria au consultant.salam waungwana,isue ya kusajili kampuni msipende sana kutumia vishoka nenda mwenyewe brela kama una nafasi.